Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Mmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.

Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa

 
Kwa hiyo nimwambie akutaje ili kesi ikiisha muishi wote?
Mkuu usiniingize kwenye matatizo kila mtu abebe msalaba wake.kwenye raha tushirikishane hayo matatizo yake atajua mwenyewe sijamtuma akauze madawa mimi wala sijawahi kupata hata senti yake.
 
Au anahisi jela ni insta?

Maana huko ndiko kila mwenye 'nyongo' huitapika.
 
kwahiyo anataka aachiwe eti kwasababu huyo masogange hajakamatwa!
Anyway bigup diamond uliona mbali kumkwepa huyu mtu hana fikra pevu kama jina lake tu linatosha kutengeza pesa ya kutosha
 
Unajua serikali ina mkono mrefu. asifikirie kabisa kwama umaarufu wake ni zaidi ya serikali. serikali inaweza kuumaliza umaarufu wake ndani ya dakika chache tu. Akae kimya tu kama hausiki itajulikana na ndiyi aanze kesema kuropoka.
 
Na wema akiwa na hasira anaropoka chochote(jeuri kuwa hakuna wa kumgusa)

Wema hana marafiki wazuri,alionao wote wamemgeuza dili na breaking news(habari mubashara)kwa kila akiongeacho na akifanyacho.
Shida ni watu wa karibu na wema.....

Mtu mwenye nia nzuri na wema angeedit hiyo clip

Na mange alivyonyamitusi hata hakuangalia athari za hilo neno......
 
Mkuu usiniingize kwenye matatizo kila mtu abebe msalaba wake.kwenye raha tushirikishane hayo matatizo yake atajua mwenyewe sijamtuma akauze madawa mimi wala sijawahi kupata hata senti yake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwan siuna mpenda
Ukipenda boga penda na ua lake
 
Back
Top Bottom