DC aingilia kati mgogoro wa Wananchi na Luhaga Mpina mkoani Morogoro

Simple Mpina aachane na hilo shamba then tuone wataanza movie gani, awapige humo humo

..akianza kupoteza mali familia itamlilia na mwisho atasallimu amri.

..moja ya sababu iliyomrudisha Sumaye Ccm ni kilio na lawama za familia kuhusu mali allizonyang'anywa kwasabau ya kuwa mpinzani.
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba hawahusiki kufadhili fedha kwa ajili ya mpango huo wa kumchafua Mpina.

Hata kama Mkuu wa Wilaya ya Morogoro ni NDUGU YAKE NA FESTO SANGA ambaye ni MSAIDIZI wa MWIGULU NCHEMBA lakini mh mwigulu hahusiki na kuratibu suala hilo kwani yuko bize kuandaa bajeti kuu ya serikali na mh Makamba naye yuko bize na kuandaa bajeti yake kesho bungeni.

"hizo tuhuma kwamba Mwigulu na Makamba ndio wamefadhili huo mkutano wa kumchafua mpina sio wa kweli na vyombo vipo vinaweza kuchunguza kujua ukweli wa jambo hilo, hiyo ni ziara ya kawaida ya mkuu wa wilaya ya morogoro kusikiliza kero za wananchi" amesema mmoja wa watu wa karibu wa makamba na mwigulu.

Baada ya taarifa hiyo kutoka kwenye vyombo vya habari watanzania wengi waliihusisha na mambo ya kisiasa na kuwayaja mwigulu nchemba na makamba kuwa ndio wametoa pesa nyingi kulipa waandishi wa habari na kuwalipa watu wa kuongea kwenye mkutano.
 
..akianza kupoteza mali familia itamlilia na mwisho atasallimu amri.

..moja ya sababu iliyomrudisha Sumaye Ccm ni kilio na lawama za familia kuhusu mali allizonyang'anywa kwasabau ya kuwa mpinzani.
System imekamatwa na mafisadi hakuna namna
 
😂😂😂

Umehojiwa na nani?
 
Acha upumbavu. Mabango aandike mtu mmoja halafu uwabebeshe wapumbavu kumi!!? Wewe unaona ni sawa hiyo? Au hujui kwanini iwe Mpina na wala siyo Wahuni?
Kinyeo chako
 
Huyo DC awe makini Saisa anazozofanya yeye zilifanywa na kina sabaya na makonda awamu ya Tano na wote wameishia kubaya
usilinganishe majambazi na mama wa watu anayetimiza wajibu wake, hapo amekosea nini yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya hiyo wilaya
 
Niliangalia hii taarifa kupitia ITV ukiwa na akili timamu unajua bila shaka wale wananchi wamepangwa ila sijui ni kwa kusufio gani pengine ni vile Mpina anavyowapelekea moto huko bungeni.
wapangwe wa nini, Mpina hana ubavu wa kuipelekesha serikali yule ni fisadi tu waxha ashughulikiwe hana akili
 
usilinganishe majambazi na mama wa watu anayetimiza wajibu wake, hapo amekosea nini yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya hiyo wilaya
Hata akina sabaya wakati huo walikuwa na machawa wanaowatetea kama wewe
 
Igizo la kipumbavu sana hili kuwahi kutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…