DC Butiama amfukuza mtoto wa Mwalimu Nyerere Butiama kijijini

DC Butiama amfukuza mtoto wa Mwalimu Nyerere Butiama kijijini

Kama kuna tatizo mtu anatakiwa kuniambia. Kuna tatizo.
Unakumbuka jana au juzi au lini,ulifanya nini? Ulifanya hivi na hivi. Unabisha?
Kwa hiyo nakutaka uondoke kijijini.
Sasa I have not been charged with anything. Hata sijui nijibu nini.
Kwa hiyo I have to be silent. I have nothing to say.
Na hata kama yule mtu ananieleza complaint zake ni nini. I will only answer serious complaints. Siyo mambo ambayo watu wanazungumza kwa maskhara.
Kama mtu akiniita mimi mlevi wakati mimi siyo mlevi,ni kazi ya mtu mwingine kumwambia kwamba mimi siyo mlevi,siyo kazi yangu.
Kibaya sasa, huyo DC ndiye mkuu wa kamati ya ulinzi ya wilaya, kwa hivyo amri yake ina uzito fulani wa kisheria, si amri ya kisiasa tu.

Ma DC wana discretionary power sana, tubadilishe haya mambo kwenye katiba mpya.
 
Amwambia aondoke kijijini asirudi kamwe.

Imetokea Jumatatu asubuhi[juzi],huyu DC[sijawahi kumuona,wala sifahamu jina lake] amemtuma mtu kuniambia ''DC amesema kuna tatizo fulani limetokea na anataka wewe uondoke hapa''

Mimi nikasema hakuna tatizo lililotokea. Halafu yule jamaa akasema,''Okay. Nakwenda kumwambia DC kwamba umesema hakuna tatizo lililotokea.

Sasa yule jamaa alipoondoka mimi nikafikiri[ kwa dakika moja], halafu nikaamua kuondoka Butiama. Sasa nipo Arusha.

Again, DC wa Butiama amemfukuza kule mtoto wa Mwalimu Nyerere.
Analijua tatizo ndiyo sababu aliondoka, ukoo wa mwalimu ni balaa ndiyo sababu haujastawi kwani kila mtu yuko kivyakevyake, nakumbuka kero zao nilipokaa Mwitongo.
 
Kama kuna tatizo mtu anatakiwa kuniambia. Kuna tatizo.
Unakumbuka jana au juzi au lini,ulifanya nini? Ulifanya hivi na hivi. Unabisha?
Kwa hiyo nakutaka uondoke kijijini.
Sasa I have not been charged with anything. Hata sijui nijibu nini.
Kwa hiyo I have to be silent. I have nothing to say.
Na hata kama yule mtu ananieleza complaint zake ni nini. I will only answer serious complaints. Siyo mambo ambayo watu wanazungumza kwa maskhara.
Kama mtu akiniita mimi mlevi wakati mimi siyo mlevi,ni kazi ya mtu mwingine kumwambia kwamba mimi siyo mlevi,siyo kazi yangu.
DC amefanya over reaction.

Alipaswa kukuita akueleze anachokisikia ama kukifahamu kisha akupe haki ya kusikilizwa.

Anyways tuyaache. Vp US wanaendeleaje
 
Amwambia aondoke kijijini asirudi kamwe.

Imetokea Jumatatu asubuhi[juzi],huyu DC[sijawahi kumuona,wala sifahamu jina lake] amemtuma mtu kuniambia ''DC amesema kuna tatizo fulani limetokea na anataka wewe uondoke hapa''

Mimi nikasema hakuna tatizo lililotokea. Halafu yule jamaa akasema,''Okay. Nakwenda kumwambia DC kwamba umesema hakuna tatizo lililotokea.

Sasa yule jamaa alipoondoka mimi nikafikiri[ kwa dakika moja], halafu nikaamua kuondoka Butiama. Sasa nipo Arusha.

Again, DC wa Butiama amemfukuza kule mtoto wa Mwalimu Nyerere.
Baadhi ya watoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, ni issues!, mmoja wao tunaye humu JF, usiwaamini sana maana...
Naomba nisimalizie kwa heshima ya Mwalimu!.
P
 
.
Kama mtu akiniita mimi mlevi wakati mimi siyo mlevi,ni kazi ya mtu mwingine kumwambia kwamba mimi siyo mlevi,siyo kazi yangu.
Ulevi sio kosa la jinai la kufanya mtu afukuzwe kijijini, ila yatokanayo na huo ulevi wa kupindukia kama yanajirudia mara kwa mara, na kupelekea jinai, kuliko kumfunga jela mtoto wa Baba wa Taifa, bora afukuzwe kijijini!.
P
 
Amwambia aondoke kijijini asirudi kamwe.

Imetokea Jumatatu asubuhi[juzi],huyu DC[sijawahi kumuona,wala sifahamu jina lake] amemtuma mtu kuniambia ''DC amesema kuna tatizo fulani limetokea na anataka wewe uondoke hapa''

Mimi nikasema hakuna tatizo lililotokea. Halafu yule jamaa akasema,''Okay. Nakwenda kumwambia DC kwamba umesema hakuna tatizo lililotokea.

Sasa yule jamaa alipoondoka mimi nikafikiri[ kwa dakika moja], halafu nikaamua kuondoka Butiama. Sasa nipo Arusha.

Again, DC wa Butiama amemfukuza kule mtoto wa Mwalimu Nyerere.
Hana ubavu huo ila amefanya hivyo labda kumnusuru huyo mtoto wa Taifa asije akapatikana na jambo baya !!
 
Amwambia aondoke kijijini asirudi kamwe.

Imetokea Jumatatu asubuhi[juzi],huyu DC[sijawahi kumuona,wala sifahamu jina lake] amemtuma mtu kuniambia ''DC amesema kuna tatizo fulani limetokea na anataka wewe uondoke hapa''

Mimi nikasema hakuna tatizo lililotokea. Halafu yule jamaa akasema,''Okay. Nakwenda kumwambia DC kwamba umesema hakuna tatizo lililotokea.

Sasa yule jamaa alipoondoka mimi nikafikiri[ kwa dakika moja], halafu nikaamua kuondoka Butiama. Sasa nipo Arusha.

Again, DC wa Butiama amemfukuza kule mtoto wa Mwalimu Nyerere.


Wewe na yeye kafanyeni admission Mirembe
 
Back
Top Bottom