Kwa hiyo, kulikuwepo na "tatizo" ndio maana, baada ya kufikiri "kwa dakika moja" ukaamua kuondoka kijijini na kwenda Arusha.Sasa yule jamaa alipoondoka mimi nikafikiri[ kwa dakika moja], halafu nikaamua kuondoka Butiama.
Sasa itakuwaje, endapo DC wa huko Arusha na yeye akiamua mtoto aondoke huko!