Ndo hicho kashindwa kutuambia,nini kilimskuma kuchukua hayo maamuzi na zaidi kuwalenga askari polisi tu. Na pia amesema biashara zake zilikuwa ameshaacha zamani,je wamechunguza kwanini ziliisha? Mimi napendekeza chombo cha uchunguzi wa makosa ya jinai kingejitegemea kisiwe ndani ya taasisi nyingine ili kiwe huru.
 
KamaHamza ni gaidi, watu wa karibu naye, nao wakamatwe. Kuna picha tumemwona akiwa na Polepole
 
Wapatie wew mafunzo ya uchunguzi maana unaonekana umebobea ktk eneo hilo mkuu

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Menye darubini za kuona mbali naomba nizikodi kwani nimeamua kupiga kambi Kokobichi, najua Kokobibi panafaa sana kuangalia baharini mahali magaidi wanapoingilia.
 
Safi sana. Sasa ni dhahiri miongoni mwa viongozi wa ccm ni magaidi wa kujitoa mhanga
 
Wao ni watuhumiwa alafu wanajichunguza? hatari sn
 
Lile lilitaka kuleta mambo ya kwenye Movie, alafu linakimbia limemgeuzia mgongo adui, sijui waliliokota wapi lile li afande
 
kumbe unaweza kujifunza kutumia SMG kwenye mtandao na kulenga shabaa bila mazoezi. mlio wa SMG kama hujauzoea huwezi kusimama. inawezekana sawa gaidi ila sio wa kujifunzia kwenye mitandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…