Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes kwa ugaidi wa Mbowe na wafuasi wake tambua hata wewe hauko salama. Hii ndiyo maana serikali inapiga vita kwa nguvu zote ugaidi unaofadhiliwa na MboweKumbe hatuko salama humu nchini!
Lingekufa kwa sababu ya ujinga, likidhani sifa...Lile lilitaka kuleta mambo ya kwenye Movie, alafu linakimbia limemgeuzia mgongo adui, sijui waliliokota wapi lile li afande
Taarifa hizi zifike kwa mabalozi wote kuwa Tanzania kwasasa ni kitovu cha Ugaidi.
Sawa mke wa Hamza tumekusikiaHilo halina Ubishi.
Hamza alikuwa Gaidi namba 2.
ndio maana karibia wafuasi wote wa Chadema walimtangaza Hamza kama shujaa wao, inathibitisha kuwa Chadema wanaunga mkono kwa 100% vitendo vya kigaidi.
ndio maana hata kuthibitisha kesi ya Mbowe itakuwa kazi nyepesi sana.
huenda Hamza alitumwa na kumtumikia Gaidi namba 1.
Natanguliza pole za dhati kwako kwa kufiwa na kada mwenzako wa CCM Hayati Hamza.Pole Daudi
Hukujua ndugu yako ni gaidi
Nashangaaga sana pale makamanda wa mikoa wanapotoaga taarifa za kuua majambazi eti polisi wamefanikiwa kuuwa majambazi kadhaa kwenye mapigano ya kurushiana risasi bila ya wao hata kupunyuliwa kidogo.Lile lilitaka kuleta mambo ya kwenye Movie, alafu linakimbia limemgeuzia mgongo adui, sijui waliliokota wapi lile li afande
Daudi bana! Huko kwako, mfano Marekani kwa siku kuna zaidi ya Hamza mmoja wanaua watu.wawataarifu raiya wa nchi zao wawe makini kila wanapofikiria kuja TZ.
Sasa mbowe kaingiaje hapa? Mi ni ccm damMbowe nae si gaidi,kwa hio nae anaweza akabeba bunduki vile na kupambana na mapolisi kwa style ya Hamza?
Siyo ugaidi, Ni ticket ya kupata wale mabikra 70.Kuifia dini ni ugaidi?
Haya kawaeleze Wanaccm wa Nzega kabla Husein Bhashe hajafanya yake.Hiyo haibadili usomali wake,wala utamaduni wake.