Hao nao wasikwepe ujambazi wao, akina Zombe hata baada ya walioiba zile pesa za BIDCO kujitokeza Bado hawakusikilizwa, Ila wamewaponza ambao hawakukwapua mali za Hamza kuuawa.
 
Huyu chini ya Sirro ni bumunda tu , mana wooote wanaonekana hawana akili hata moja, ugaidi unajifunzia mtandaoni, embu oneni aibu jamani
 
Hao wandishi wa Habari waliluhusiwa kuuliza maswali kwa kamanda?
 
Naomba ndugu usidanganyike na propaganda za IGP Sirro na Wambura!!
Hawa jamaa wanataka kupoteza lengo. The question is: WHY POLICEMEN ???.Kuna madai ya Hamza kudhulumiwa MADINI YAKE YA DHAHABU na mapolisi mbona hili halisemwi??
Kama ni swala la Ughaidi Hamza Angelienda Soko Kuu Kariakoo akajilipua ili auwe wengi na yeye afe!!
Lakini Hamza ALIWA LENGA POLISI !! Hii ina maana kwamba kulikuwa na mgogoro kati ya HAMZA NA MAPOLISI!! Try to think out of the box please!!!
 
Mama samia Rais wangu unda tume huru alichosema Dci ni uwongo mtupu! Hivi gaidi anachagua mtu, si angemaliza kwanza raia waliokuwa karibu naye. Wambura ni wazi kabisa na anapaswa kuondoka. Mama unda tume utaona ujangiri na ujambazi waliofanya Polisi
 
Mhu!
 
Ushauri wangu mfupi kwa hili jeshi la polisi ni kwamba..Dunia hii na hasa kizazi hiki ni kizazi kilichochangamka sana kiakili...na hii imechangiwa sana na mabadiliko katika Sayansi na Technology hivyo basi njia pekee itakayolisaidia hili Jeshi ni kubadili vigezo vya watu wanaokuwa recruited na kuchukua watu waliofanya vizuri kwenye masomo yao na sio waliofeli.
 
Kama wanaamini na kutoa taarifa kuwa Hamza ni gaidi basi kuna hatari ya uwepo wa sleeper cells Tanzania...

Na kitendo cha 'gaidi' mwenzao kuuawa, kitawaamsha wengine kulipiza kisasi...
 
Hats Mimi Nina wasiwasi saana naHamza kwani inaonekana no mzoefu saana Wa silaha inawezekana
 
Gaidi wa kujitoa mhanga,
Halafu anaua polisi tu,
Dah ajabu na kweli,
Kumbe unaweza kujifundisha kutumia banduki kupitia mitandao aisee kweli Teknologia iko advance
 
Miafrika tunapaswa kutawaliwa upya na bakora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…