Debate challenge: Nyani Ngabu vs Paul Makonda!

Debate challenge: Nyani Ngabu vs Paul Makonda!

Si muweke mdahalo basi tuweze kuwasoma?

Mbona mbambamba kibaaao?
Muomba mdahalo wa wazi anasema anajulikana na mtu mmoja tu ambaye ni mwanzilishi wa JF. Anasema hiyo inatosheleza nia yake na tamko lake la kudai mdahalo na mtu anayejulikana nchi nzima na ambaye hahitaji kuwa verified na Mwanzilsihi wa JF kwa lolote.
 
Amfuate Maxence kwa PM aombe mdahalo wa private na Makonda ofisini wakiwa watu 3. Siyo kuhadaa jukwaa na upumbavu. Two verified members plus one verifier.
 
Ndo maana nchi haiendelei yaani makonda adili na maswala nyeti ya nchi pamoja na kupata zero form four. hembu kuweni serious enyi chawa wa lumumba
Nimeshangaa sana aloo, yan watu wakianza kuongelea maswala ya “global economy na crisis zake “ Paulo kweli anaweza akacontribute chochote ?

Yan kwenye nchi serious kuna mtu kasema makonda anataka kuchukua hii nchi ? Yan mtu alishindwa kudebate na kina Gwajima tu ataweza kudebate na mtu kama tundu lisu kweli ? Alishindwa magufuli msomi wa Phd ataweza makonda ? .

Kuna siku Kikwete aliwahi kusema ni bora mara mia Mbowe awe rais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge. Kimsingi Makonda hawezi ku-debate kwa hoja hata na Chid Benz, yan ihilo nakuhakikishia kabisaa
 
Muomba mdahalo wa wazi anasema anajulikana na mtu mmoja tu ambaye ni mwanzilishi wa JF. Anasema hiyo inatosheleza nia yake na tamko lake la kudai mdahalo na mtu anayejulikana nchi nzima na ambaye hahitaji kuwa verified na Mwanzilsihi wa JF kwa lolote.
Peleche peleche kibao.

Mleteni jukwaani adebate. Kwani Ngabu ni robot?
 
Peleche peleche kibao.

Mleteni jukwaani adebate. Kwani Ngabu ni robot?
Si ndiyo huyu huyu alianzisha uzi angemchakaza Chalamila kwenye ngumi live huku kafungwa mkono mmoja? Nauliza kwenye jukwaa gani?
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Makonda kasema anataka mdahalo na viongozi wa chadema, hàjataka mdahalo na wabeba mabox form four failures.
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Kiswahili hujui na kiingereza hujui, andika kikwenu
 
Hello Nyani. It's been a long time. I like this proposed debate
 
Back
Top Bottom