Degree 5 Bora Zinazotakiwa Kupewa Heshima

Degree 5 Bora Zinazotakiwa Kupewa Heshima

Bro kusema "Field zote ni equally top," lakini ukweli ni kwamba si kweli kwamba taaluma zote zina uzito sawa katika kila muktadha wa maisha your statement is false bro please clarify it again.
Ni lazima tukubali kuwa kuna taaluma ambazo ni msingi wa maisha ya binadamu kwa ujumla, kama vile udaktari na computer science Hatuwezi kusema udaktari uko sawa na tourism sijui hotel management kwa mfano, kwa sababu afya ni msingi wa uhai, ilhali tourism ni sekta ya huduma inayosaidia uchumi lakini siyo hitaji la msingi kwa maisha.

Mfano mzuri ni huu: Kama kuna nchi isiyo na madaktari, watu wake watakufa kwa magonjwa ambayo yanaweza kutibika. Ila kama nchi hiyo haina tour guide au watu wa hotel management, bado itaendelea kuwepo bila tatizo kubwa. Vivyo hivyo, dunia ya sasa haiwezi kuendelea bila computer science kwa sababu kila kitu, kutoka afya, communication, fedha, hadi elimu, kinategemea Technology.
Kwa hiyo, kusema "taaluma zote ni sawa" si sahihi. Ukweli ni kwamba taaluma zote zina umuhimu kwa kiasi fulani lakini Kuna top tàaluma, ila zina viwango tofauti vya umuhimu kulingana na mchango wake katika maisha ya binadamu.
Brother Usikute mtaalam alikuwa anasuggest hatuwezi kuishi bila ya kuwa na wataalam wa Tourism 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Duniani taal

Unatumia computer! Who transformed the physics of solid states to the working computer? Who builds hizo vifaa vinafanyia analysis? Engineers are working day and night kuitransform hii dunia into the shape unaiona saivi. Engineers are responsible for every step tunamake kwa haya maisha, eti kabisa unauthubutu wa kuweka

haupo informed kuwa dunia inahitaji njni .. kuna kitu kinachoitwa data science ambayo dunia ndo kipo hot na AI
Sasa data science na AI si cs ndo kawazaa au mzee unazani wametokea wapi hao ni watoto wake ndo maan expert wa CS anafany zote hapo bila shida maana huwez soma AI au data science kama huna background ya programming na alogarithims ambazo Cs ndo mwanzilishi wa lugha ya computer [0,1] na nikwambie tu AI unaijua maana yake kwanza usije kuta hujui AI ni nini na inatokea wap na inafany kitu gani
 
1. Medicine & Surgery.

2. Computer Science & IT –

3. Law

4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)

5. Education.

Ongezea za kwako!
Dunia inahitaji balance - hapana shaka degree ulizozitaja zina umuhimu na heshima yake , lakini pia imagine dunia nzima ingekua watu wamesoma degree hizo peke ake bila kua na wataalamu wa vitu vingine , ingekua ni dunia ya ajabu au pengine ya kipekee. Mtu wa medicine anamtegemea mtu aliyebobea kwenye vocational training ya plumbing na kinyume chake kwahiyo hata masomo /utaalamu wa plumbing unaheshima yake kama ilivyo medicine .Sijajua umetumia kipimo gani kuzipa heshima course hizo lakini nionavyo mimi kila level ya masomo ( degree, diploma, certificate ) zote zina heshima yake kulingana na mahali na mahitaji yake na kama unazungumzia ugumu mara nyingi utakuta mtu amevamia choo cha kike kwa kusoma ama course asiyoiweza na mwisho wa siku kuona vitu haviendi . Ni kama watu ambao walisomea ualimu wakiaminishwa kwamba kuna guarantee ukimaliza course tu unapata kazi ya ualimu - matokeo yake tunayaona humu humu JF katika michango mbali mbali ya malalamiko lakini kumbe mtu kama huyo angekua na uelewa kwamba hata course za VETA zinaweza kumuweka mjini pengine angekua ameshapata shuguli ya kujishughulisha na kujiongezea kipato - AU NAENDA NJE YA MADA
 
Dunia inahitaji balance - hapana shaka degree ulizozitaja zina umuhimu na heshima yake , lakini pia imagine dunia nzima ingekua watu wamesoma degree hizo peke ake bila kua na wataalamu wa vitu vingine , ingekua ni dunia ya ajabu au pengine ya kipekee. Mtu wa medicine anamtegemea mtu aliyebobea kwenye vocational training ya plumbing na kinyume chake kwahiyo hata masomo /utaalamu wa plumbing unaheshima yake kama ilivyo medicine .Sijajua umetumia kipimo gani kuzipa heshima course hizo lakini nionavyo mimi kila level ya masomo ( degree, diploma, certificate ) zote zina heshima yake kulingana na mahali na mahitaji yake na kama unazungumzia ugumu mara nyingi utakuta mtu amevamia choo cha kike kwa kusoma ama course asiyoiweza na mwisho wa siku kuona vitu haviendi . Ni kama watu ambao walisomea ualimu wakiaminishwa kwamba kuna guarantee ukimaliza course tu unapata kazi ya ualimu - matokeo yake tunayaona humu humu JF katika michango mbali mbali ya malalamiko lakini kumbe mtu kama huyo angekua na uelewa kwamba hata course za VETA zinaweza kumuweka mjini pengine angekua ameshapata shuguli ya kujishughulisha na kujiongezea kipato - AU NAENDA NJE YA MADA
😂Soma tena Uzi ulivyo andikwa bro hamna mahali nimebeza kozi yeyote
 
Sasa data science na AI si cs ndo kawazaa au mzee unazani wametokea wapi hao ni watoto wake ndo maan expert wa CS anafany zote hapo bila shida maana huwez soma AI au data science kama huna background ya programming na alogarithims ambazo Cs ndo mwanzilishi wa lugha ya computer [0,1] na nikwambie tu AI unaijua maana yake kwanza usije kuta hujui AI ni nini na inatokea wap na inafany kitu gani
Huyo jamaa ajaelewa alichoandika.
 
Brother Usikute mtaalam alikuwa anasuggest hatuwezi kuishi bila ya kuwa na wataalam wa Tourism 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio anacho maanisha mkuu yani huwe mfananisha surgeon wa moyo au akili na mtu sijui wa tourism, accountancy, procurement and supply, front-office, secretary siku zote surgeon atakuwa top
 
Bro kusema "Field zote ni equally top," lakini ukweli ni kwamba si kweli kwamba taaluma zote zina uzito sawa katika kila muktadha wa maisha your statement is false bro please clarify it again.
Ni lazima tukubali kuwa kuna taaluma ambazo ni msingi wa maisha ya binadamu kwa ujumla, kama vile udaktari na computer science Hatuwezi kusema udaktari uko sawa na tourism sijui hotel management kwa mfano, kwa sababu afya ni msingi wa uhai, ilhali tourism ni sekta ya huduma inayosaidia uchumi lakini siyo hitaji la msingi kwa maisha.

Mfano mzuri ni huu: Kama kuna nchi isiyo na madaktari, watu wake watakufa kwa magonjwa ambayo yanaweza kutibika. Ila kama nchi hiyo haina tour guide au watu wa hotel management, bado itaendelea kuwepo bila tatizo kubwa. Vivyo hivyo, dunia ya sasa haiwezi kuendelea bila computer science kwa sababu kila kitu, kutoka afya, communication, fedha, hadi elimu, kinategemea Technology.
Kwa hiyo, kusema "taaluma zote ni sawa" si sahihi. Ukweli ni kwamba taaluma zote zina umuhimu kwa kiasi fulani lakini Kuna top tàaluma, ila zina viwango tofauti vya umuhimu kulingana na mchango wake katika maisha ya binadamu.
Mkuu; Kwa mtazamo huu 👇👇 nakubaliana na hoja yako kwamba Taaluma zote ni muhimu ila zinazidiana i.e. hazilingani.
Mfano mzuri ni huu: Kama kuna nchi isiyo na madaktari, watu wake watakufa kwa magonjwa ambayo yanaweza kutibika. Ila kama nchi hiyo haina tour guide au watu wa hotel management, bado itaendelea kuwepo bila tatizo kubwa. Vivyo hivyo, dunia ya sasa haiwezi kuendelea bila computer science kwa sababu kila kitu, kutoka afya, communication, fedha, hadi elimu, kinategemea Technology.
Kwa hiyo, kusema "taaluma zote ni sawa" si sahihi. Ukweli ni kwamba taaluma zote zina umuhimu kwa kiasi fulani lakini Kuna top tàaluma, ila zina viwango tofauti vya umuhimu kulingana na mchango wake katika maisha ya binadamu.:OkayChamping::HYPERCLAPHD:
 
Tz hatuzingatii huduma kwa jamii, tunazingatia mkono uende kinywani.

Level ya huduma bado hatujafika huko, huu ndio ukweli
Unakuwa daktari kwaajili ya pesa tu mkuu sio kusaidia watu, au wewe ni mwalimu kwaajili ya pesa kwa upande wangu sifanyii kazi pesa ila acha nilicho nacho kinilipe
 
Back
Top Bottom