Degree ya Pharmacy ndo kozi yenye mchongo kuliko zingine zote kwa Tanzania

tatizo LA wanafunzi mkiwa chuo mnajidanganya sana ,mnafikiri magorofa tu soma kwanza dogo,miaka ,minne mingi sana ..tusubiri ...
 
We dogo hujui life likoje kitaa unaropoka tu hebu maliza hiyo pharmacy yako halafu njoo kitaa uone mziki ulivyo na kwa taarifa yako hakuna mtu duniani amewahi kuwa millionaire kwa mshahara pekee .million 1500000 sio kitu kwa life la sasa hivi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] 1St Year uyo akifika chuo tu anajiona bilionea Hahaha maliza uje kitaa dogo
 
mkuu waulize wenzio wa walimaliza mwaka huu
Nikwelii sahivi ni INTAKE YA 3 serikali haijaari Ma Dr wala Wapharacia.

Haimaaanishi kwambaa watakosaaa.
Naunaposema wa Mwaka huuu sikuelewi maana ndo wamefanya shereh juz hata intern hawajaendaa unasema wamekosaajiraa.



NAKWATAARIFA AKO PHARMACY IKIKOSA SOKO KOZI ZINGINE ZOTE ZA OVYOOVYOO ZINAFUNGWA MAANA ZENYEWE ZITAKUWA HAZINA UHITAJI.
 
Mimi na Degree yangu siwez kugawa dawa dogoooo.
NATENGENEZA CHLOROQUINE PARACETAMOL AMODAR ETC
Hizo zinatengenezwa na wakemia. Na zilishaga tengenezwa zamani na wenzetu walioendelea we unaletewa chloroquine kazi yako ni kutengeneza kibonge tu
 
Hizo zinatengenezwa na wakemia. Na zilishaga tengenezwa zamani na wenzetu walioendelea we unaletewa chloroquine kazi yako ni kutengeneza kibonge tu
Mkemia kazi yake ni kutengeneza sabuni ya OMO [emoji13] [emoji13] [emoji13] na DAWA ZA CHOONI.
Awezi kutengeneza CHLOROQUINE wakati hajui hata BENZENE Inachorwajee..
 
Mkemia kazi yake ni kutengeneza sabuni ya OMO [emoji13] [emoji13] [emoji13] na DAWA ZA CHOONI.
Awezi kutengeneza CHLOROQUINE wakati hajui hata BENZENE Inachorwajee..
Aisee. Mda mwingine ujitahidi kuficha ujinga wako
 
[emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji2]
 
Naomba nicomment ili nafsi yangu irizike. K*u*m*a* wewe, nimesoma comments zako zote mpk nikaafika kukwambia hivyo. Asante
 

Taifa limepata hasara kutoa mkopo kwa chizi kama wewe
 
Ndoto bwana endelea kuota !
 
Si bure umerogwa wewe! Hivi upo chuo na mpaka leo hujajua fani zinazotengeneza hela???
Kwanza kuwa na degree ya Pharmacy ukumbuke kuwa si ndiyo sababu ya kupata hela kama unavyodhani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…