Deni la Taifa lafika TZS trilioni 91.03

Deni la Taifa lafika TZS trilioni 91.03

Sahivi wanakopa kila cku, na unategemea nn
 
Mama mama mama weeeeee hakika unaupiga mwingi hadi unamwagika
 
Hivi tumeshindwa kuchukua maamuzi magumu kwa ukopaji huu?
Tuelekee Bungeni
Kama wananchi tunahitaji maelezo
Kikundi cha watu au mtu mmoja anaamua hatma ya Tanganyika ?
Kwa tumelogwq

Mods tafadhalini msifute comments zetu… Sisi ndio walipa kodi tuna haki ya kuhoji……
 
HIVI NI KWELI DENI LA TAIFA LIMEFIKA TRILLIONI 91.?

Uko Twitter na Jamii forum kuna watu washaanza kumsingizia Hayati Rais Magufuli, sasa niliweke sawa jambo hili, baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli,Waziri wa fedha alitoa taarifa kuhusu deni la Taifa nami nanukuu;-

"Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba leo amewasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hadi Aprili 2022, deni la Serikali lilikuwa shilingi trilioni 69.44 ikilinganishwa na shilingi trilioni 60.72 kipindi kama hicho mwaka 2021."

Shame on you mnaemsingizia Marehemu.
 
Uko Twitter na JamiiForums kuna watu washaanza kumsingizia Hayati Rais Magufuli, sasa niliweke sawa jambo hili, baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli, Waziri wa fedha alitoa taarifa kuhusu deni la Taifa nami nanukuu;-

"Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba leo amewasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hadi Aprili 2022, deni la Serikali lilikuwa shilingi trilioni 69.44 ikilinganishwa na shilingi trilioni 60.72 kipindi kama hicho mwaka 2021."

Shame on you mnaemsingizia Marehemu.
 
Hadi Oktoba 2022 Deni la Taifa liliongezeka kufikia dola za Marekani milioni 39,006.1 (TZS trilioni 91.03) kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Kati ya kiwango hicho, TZS trilioni 64 ni deni la nje, huku deni la ndani likiwa ni TZS trilioni 26.6.

Swahili Times
Inamaana inchi inaongozwa kwa kukopa sasa isee..mbona deni linapaa sana..
 
Wanaomnanga marehemu!

Wamekata tamaa ya namna ya kumpigania Mama na kumuokoa na yanayoendelea!

Sasa wanapiga KELELE kama chura !
 
Naomba kujuzwa, Jiwe aliacha deni kiasi gani ili tujue na Bi Tozo naye kakopa kiasi gani?

Kama, kwa mfano 2021, Feb, deni lingekuwa 76t, ina maana 91.03 - 76 = 15.03

Kwa mwaka mmoja itakuwa tumekopa 15t, Jiwe alikopa ngapi kwa miaka 5?

Zote kwa ujumla wake tumefanyia nini? Tangible?

Spain walipiga pasi 1055 dhidi ya 359 za Morocco, ni kweli waliupiga mwingi ILA ndo hawakuwa wakiona goli.
 
Waje watubake tuu mana hy pesa
Ishu sio kumshauri vizuri ishu ni kwamba hao waliomzunguka they are not intelligent enough wamepewa nafasi kwa connection, uchawa na unafiki tu. Watu kama nape, january, ridhiwani they are nothing kichwani wapo pale kutokana na majina tu ya baba zao chamani angalia mtu kama mwigulu ni bashite fulani tu cha kushangaza ndo anashikilia nafasi nyeti zaidi. Mfumo wetu wa kupata viongozi ni dhaifu sana
Hii nchi ni masikini jamani hata wewe ukapewa uwaziri wa fedha au urais sahivi utakopa tu.

Hii nchi wananchi wengi vipato ni vidogo sana na tunaishi maisha ya kudunduliza kiasi serikali inashidwa hata kukusanya kodi maana hakuna cha kuchukua.

Na wananchi wenyewe wanalawama balaaa..
 
nifahamishe... Deni la ndani linatokana na nini?????? au ni ndani ya Africa au Ndani ya Tanzania???? na kama ni ndani ya Tanzania How? Jamani mimi poyoyo wa elimu ya uchumi nielimishwe
Deni la ndani ni Bonds za BOT
 
Kutokana na deni la Taifa kuwa Shilingi Trilioni 91.03. Kila M-Tanzania anadaiwa Shilingi Billioni 1 na Millioni 500 Haya Wa-Tanzania tuchange kila mmoja wetu ili tupate kulipa Deni la Taifa. Mwenye kuwa na Ng'ombe,Mbuzi,nyumba mashamba na Vitu vingine auze ili tupate kulipa deni la Taifa letu Serikali ya CCM imeshindwa kulipa hayo madeni kila mwezi Madeni yanazidi kuongezeka kazi kweli ipo. Serikali ya CCM inakopa kila kukicha na pesa hazijulikani zinakwenda wapi? Lohh Majangaa makubwa nchi yetu itauzwa mpaka na Wananchi wake watauzwa kwa wingi wa madeni tunayo kopa kila kukicha.
Ndo shida ya kukimbia hesabu.
 
Taifa la wapiga kelele. Kura hata hampigi kazi kulalamika tu
 
Hii nchi ni masikini jamani hata wewe ukapewa uwaziri wa fedha au urais sahivi utakopa tu.

Hii nchi wananchi wengi vipato ni vidogo sana na tunaishi maisha ya kudunduliza kiasi serikali inashidwa hata kukusanya kodi maana hakuna cha kuchukua.

Na wananchi wenyewe wanalawama balaaa..
Kuna mamna nyingi ya kupunguza makali ila tuna viongozi ambao hawana upeo., fikiria nchi haina vifaa vya uokoaji ila kila mwaka wizara zinapitisha bajeti ya kununua magari ya milioni 500, waziri analuka na helikopta nchi nzima kufanya kazi ambayo ingewezekana kufanywa na wajumbe wa nyumba 10 hivi unajua gharama za kurusha helikopta angani kwa saa moja tu achilia mbali posho na gharama zingine za msafara wa waziri

Mimi ningekua rais kwa uchache tu ningefanya yafuatayo
1. Ningeondoa mishahara na kiinua mgongo cha wabunge pamoja na kupunguza 75% ya posho zao za vikao. Ubunge ingekua kazi ya kujitolea serikali itagharamia maradhi na posho kipindi cha mikutano ya bunge mikutano ikiisha wabunge wote wanarudi mtaani kuendelea na shghuli zao za kuwaingizia kipato

2. Ningesomesha wanafunzi chuo kikuu kwa kuangalia uwiano wa fursa za ajira zilizopo kwa wakati husika na idadi ya wanafunzi wanahitimu. Kwann nipoteze pesa kusomesha injinia au mhasibu alafu baada ya kuhitimu eti ajiajiri kuwa machinga au bodaboda hv tushawahi kupiga hesabu kujua gharama tunazoingia kusomesha hizi degree ambazo zipo mtaani bila kutumika.

3. Ningefatilia background ya mikopo yote kama kuna pesa ilitapanywa iwe kwa uzembe wa kiongozi au ufisadi basi wahusika wote wangehusika kuilipa au laah mali zao zinataifishwa.
 
Hadi Oktoba 2022 Deni la Taifa liliongezeka kufikia dola za Marekani milioni 39,006.1 (TZS trilioni 91.03) kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).















Kati ya kiwango hicho, TZS trilioni 64 ni deni la nje,














Swahili



Ukiona picha ya Mwigulu tu, ujue anasaini mkopo.
Ukiona picha ya Mwigulu tu, ujue anasaini mkopo.
Hawa watu wetu wana idea tutalipaje?
 
Back
Top Bottom