Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Tunabadiri gia angani ni mwendo wa kumsifu Samia,Magufuli zama zake zimepita.Tunajipanga upya kujipendekeza kwa Magu
 
Mmh we jamaaa[emoji848][emoji848]
Mie msimammo wangu ni kuwa unapofanya kitu usijione kuwa u wa tofauti usidhani kuwa hakuna wa kuweza kuachieve ulicho achieve wewe.
Ni kama jamii zilitangulia kuiona elimu so wanajionaga special as if wengine hawatasoma. Nauliza tu dola ya rumi,ottoman,Alexander the great,babeli ziko wapo saivi. Wachina wanakuja juu wanawatishia waliotangulia kuwa wajanja jamani
 
Ndo ampe mitano tena mkinga mpumbavu huyu
 
Very true[emoji122][emoji122][emoji122]
 
maandamano yatafanyika lini? na mm nataka niwaunge mmono atawale milele! washenzi wakubwa mliifanya hii nchi mali ya ccm
 
[emoji15][emoji1483][emoji1483][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…