Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkishauriwa msipigenyeto kabla ya safari mnatuonaDaah kitu kama hii niliiona Sukamahela pale Singida bibi mmoja yuko katikati ya barabara na yuko umbali wa mita chini ya 5, eeee buana weeee ile kuhamaki na kutoa macho pamoja na kushika kichwa akili ikiwa imehama mtu anaonekana nyuma akikatisha barabara kulia kwenda kushoto ukitokea Dodoma.
Hapo ndio nikajua kuna mambo japo ile picha kichwani huwa haileweki (ninachoona ndicho au naota)
Na mtakufa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Msigwa kama msigwa[emoji23]
Ninavyopenda superfeo/selous[emoji23][emoji23][emoji23]tutakufa
Naomba nieleweshe vizuri,ananunuaje kafara?mana mi najua watu ndio hutoa kafara,sasa kununua hapo inakuaje?Na mtakufa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tangu nipate habari zake za kununua kafara, sitaki mie.
Napanda new force na tavavili.
Mauzauza yapo barabarani,ilikuwa ni ghafla sana nilishutukia kitu kama Mbwa anakatiza barabara,sikutaka kumkwepa kwani umbali ulikuwa ni mdogo sana na ni usiku,nikamgonga na ngao ikapasuka nikasikia kabisa imedondoka na vipande vimepasuka kwa chini,Nikasimama kama mita 300 kuangalia nikakuta kweli imepasuka,nikasema ngoja nirudi labda naweza kuokoa baadhi ya vitu vilivyo dondoka,siku ona Mbwa,wala kilichoangauka,wala damu.Yani barabara ni nyeupe kama hakuna kilichotokea,kesho yake nikapita mchana ili niangalie vizuri sikuona chochote,ukichukulia kuwa pamenyooka kabisa.Nikaulizia wanaopafahamu wakaniambia hapa hivyo vitu vya kawaida sana.Wanaojua njia ya Babati Arusha karibu na daraja la Kiongozi...
We kumbe mjomba wake na bamboMsigwa huyo akaweka kiini macho ili dereva aangushe gari, abiria wafe yeye apate kafara, huyu baba atatuua wangoni wote khaaah.
Tutamchoka na tutamfurusha km mwenzie Ottawa. Msieeew zake.
Hapo nyeto imeingiaje mzee wa nyeto?Mkishauriwa msipigenyeto kabla ya safari mnatuona
Ena wenga nene wa ku bombii nyumbii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We kumbe mjomba wake na bambo
Sasa si ananunua kwa watu hao wanaotaka kutoa kafara.Naomba nieleweshe vizuri,ananunuaje kafara?mana mi najua watu ndio hutoa kafara,sasa kununua hapo inakuaje?
Akubali tu alishindwa kulimudu gari kwenye kona kutokana na kuwa katika mwendo mkali. Hayo mambo ya kumkwepa mtu anaye mfahamu, na kushindwa kulimudu gari na kupinduka; ni utetezi wa kufikirika.Mkono nje ya gari unafanya nini alafu analiendesha gari
Wacha nitamchangia ila kwanza nitampigia simu.Mchangieni jamani acheni roho mbaya!
0626452699
Jina litakuja Saadiya Shekhe Mbwana
Jina likiwa Halima Mbwana nitachangiaMchangieni jamani acheni roho mbaya!
0626452699
Jina litakuja Saadiya Shekhe Mbwana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mweeeeeeh. Huku mbinga hizo amna ni superfeo tu ya uhakikaNa mtakufa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tangu nipate habari zake za kununua kafara, sitaki mie.
Napanda new force na tavavili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nipe nitakuwakilishiaJina likiwa Halima Mbwana nitachangia
We name sasa km unakuja Dar, si unawahi town unakata tavavili unalala pale, asubuh yake njian.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mweeeeeeh. Huku mbinga hizo amna ni superfeo tu ya uhakika
Siwezi kupanda kisumapai au bambo ni magari ya hovyooo sana,yanasimama kama daladala,
Mimi niliwahi kuona nyoka mkubwa anavuka barabara kati ya Same na Hedaru.Afrika ulozi upo sana tu..sema wafia dini za wazungu na waarabu watabisha.
Chamsingi omba yasikukute.
#MaendeleoHayanaChama
...hata mimi nilivyokuwa naendesha magari ya magazeti ya IPP Media nshakutana na Mengi(RIP) sababu ndiye alikuwa mkurugenzi mkuu wa kampuni.Kama wewe sio Dereva wa long trip usi coment chochote maana utabisha tu, huko safarini watu wanakutna na mengi, mengine hawayasemi tu hadharani.
Unajua waliachaga route ya mbinga to dar,,,,kwasababu raia walikuwa wanaenda kupanda songea,walikuwa hawapandi feoWe name sasa km unakuja Dar, si unawahi town unakata tavavili unalala pale, asubuh yake njian.
Msigwa atatumaliza wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]