Dereva Halima aliyekatika mkono asema 'Niliona mtu ninayemjua akivuka barabara kabla ya ajali'

Dereva Halima aliyekatika mkono asema 'Niliona mtu ninayemjua akivuka barabara kabla ya ajali'

Daah kitu kama hii niliiona Sukamahela pale Singida bibi mmoja yuko katikati ya barabara na yuko umbali wa mita chini ya 5, eeee buana weeee ile kuhamaki na kutoa macho pamoja na kushika kichwa akili ikiwa imehama mtu anaonekana nyuma akikatisha barabara kulia kwenda kushoto ukitokea Dodoma.

Hapo ndio nikajua kuna mambo japo ile picha kichwani huwa haileweki (ninachoona ndicho au naota)
Mkishauriwa msipigenyeto kabla ya safari mnatuona
 
Msigwa kama msigwa[emoji23]

Ninavyopenda superfeo/selous[emoji23][emoji23][emoji23]tutakufa
Na mtakufa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tangu nipate habari zake za kununua kafara, sitaki mie.
Napanda new force na tavavili.
 
Na mtakufa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tangu nipate habari zake za kununua kafara, sitaki mie.
Napanda new force na tavavili.
Naomba nieleweshe vizuri,ananunuaje kafara?mana mi najua watu ndio hutoa kafara,sasa kununua hapo inakuaje?
 
Mauzauza yapo barabarani,ilikuwa ni ghafla sana nilishutukia kitu kama Mbwa anakatiza barabara,sikutaka kumkwepa kwani umbali ulikuwa ni mdogo sana na ni usiku,nikamgonga na ngao ikapasuka nikasikia kabisa imedondoka na vipande vimepasuka kwa chini,Nikasimama kama mita 300 kuangalia nikakuta kweli imepasuka,nikasema ngoja nirudi labda naweza kuokoa baadhi ya vitu vilivyo dondoka,siku ona Mbwa,wala kilichoangauka,wala damu.Yani barabara ni nyeupe kama hakuna kilichotokea,kesho yake nikapita mchana ili niangalie vizuri sikuona chochote,ukichukulia kuwa pamenyooka kabisa.Nikaulizia wanaopafahamu wakaniambia hapa hivyo vitu vya kawaida sana.Wanaojua njia ya Babati Arusha karibu na daraja la Kiongozi...

Aisee
 
Mkono nje ya gari unafanya nini alafu analiendesha gari
Akubali tu alishindwa kulimudu gari kwenye kona kutokana na kuwa katika mwendo mkali. Hayo mambo ya kumkwepa mtu anaye mfahamu, na kushindwa kulimudu gari na kupinduka; ni utetezi wa kufikirika.

Yaani ni sawa na mtu afanye kitendo cha ubakaji, halafu ajitete eti Shetani alinipitia! Alikupitia kwenda wapi!

All in all, pole nyingi kwake. Hata mimi niliyaona yale mahojiano yake na yule mwandishi wa Azam Media.
 
Na mtakufa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tangu nipate habari zake za kununua kafara, sitaki mie.
Napanda new force na tavavili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mweeeeeeh. Huku mbinga hizo amna ni superfeo tu ya uhakika

Siwezi kupanda kisumapai au bambo ni magari ya hovyooo sana,yanasimama kama daladala,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mweeeeeeh. Huku mbinga hizo amna ni superfeo tu ya uhakika

Siwezi kupanda kisumapai au bambo ni magari ya hovyooo sana,yanasimama kama daladala,
We name sasa km unakuja Dar, si unawahi town unakata tavavili unalala pale, asubuh yake njian.

Msigwa atatumaliza wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afrika ulozi upo sana tu..sema wafia dini za wazungu na waarabu watabisha.

Chamsingi omba yasikukute.

#MaendeleoHayanaChama
Mimi niliwahi kuona nyoka mkubwa anavuka barabara kati ya Same na Hedaru.
Jambo la ajabu nawaonyesha wenzangu hawaoni.
Pili; nilikuwa kwenye basi liitwalo Born city, niliona mtu akiruka kutoka ukingo wa barabara kutokea kulia na akajitupa barabarani dereva hakujali kumpisha wala kushika breki...safari ikaendelea sijui kama alipona au aliyeyuka kwani sikusikia kishindo cha kugongwa.
 
We name sasa km unakuja Dar, si unawahi town unakata tavavili unalala pale, asubuh yake njian.

Msigwa atatumaliza wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua waliachaga route ya mbinga to dar,,,,kwasababu raia walikuwa wanaenda kupanda songea,walikuwa hawapandi feo

Now naona kaja kwa spidi sio ya kitoto,feo/selous inaanziambamba bay to dar..na mbinga to dar karudisha
 
Back
Top Bottom