Dereva Halima aliyekatika mkono asema 'Niliona mtu ninayemjua akivuka barabara kabla ya ajali'

Dereva Halima aliyekatika mkono asema 'Niliona mtu ninayemjua akivuka barabara kabla ya ajali'

Mtu ni me au ke je unamfaham kivip ni mpenz wako je ulitoka kusex nae maana huenda taswira ilikujia
 
Akubali tu alishindwa kulimudu gari kwenye kona kutokana na kuwa katika mwendo mkali. Hayo mambo ya kumkwepa mtu anaye mfahamu, na kushindwa kulimudu gari na kupinduka; ni utetezi wa kufikirika.

Yaani ni sawa na mtu afanye kitendo cha ubakaji, halafu ajitete eti Shetani alinipitia! Alikupitia kwenda wapi!

All in all, pole nyingi kwake. Hata mimi niliyaona yale mahojiano yake na yule mwandishi wa Azam Media.
Tuwe positive sometime, kasema kona zote alizikata vizuri tu hiyo ya mwisho ya kawaida tu na ndo mauzauza yalipotokea kuna dereva giriki tushamuongelea sana hapa aliwahi kubwaga bus kona hizo
 
Afrika ulozi upo sana tu..sema wafia dini za wazungu na waarabu watabisha.

Chamsingi omba yasikukute.

#MaendeleoHayanaChama
Umeweka vizuri kuwa ni Africa. Naendesha magari ya mizigo ya masafa kwenye nchi za dunia ya kwanza, si usiku si mchana kwa miaka sijaona mauzauza yoyote.
 
Afrika ulozi upo sana tu..sema wafia dini za wazungu na waarabu watabisha.

Chamsingi omba yasikukute.

#MaendeleoHayanaChama
Pole yake. Nimeendesha sana magari ya abiria tangu nikiwa nina miaka 24 enzi hizo nilichojifunza ni kufanya sala fupi kila unapoanza safari na kumtanguliza Mungu. Ni kwa kufanya hivi kwa imani yangu, nimeshuhudia, na kweli Mungu ameniepusha na mauzauza ya barabara kwa namna nyingi. Mfano nimeshapakia abiria kitokea Magomeni Mapipa kuelekea Moro, kufika usalama tu pipe ya oil inapasuka oil yote chini! Kwa tafsiri yangu, malaika walinigomea kuifanya hiyo safari.
 
Back
Top Bottom