samakiurembo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 445
- 689
Mtu ni me au ke je unamfaham kivip ni mpenz wako je ulitoka kusex nae maana huenda taswira ilikujia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kunyumba super feo ni kampuni yangu pendwaDea mwenye super feo.
Hata kama mtoto mzaz wako mke mumeKama ni uchawi au si uchawi mtu akiingia kwa barabara ghafula vyeka, achana na kukwepa.
Wacha wee? Sasa habari ikufikie hapo. Baba huyo anatoa sana kafara mlongo.Wa kunyumba super feo ni kampuni yangu pendwa
Ottawa yupoMsigwa huyo akaweka kiini macho ili dereva aangushe gari, abiria wafe yeye apate kafara, huyu baba atatuua wangoni wote khaaah.
Tutamchoka na tutamfurusha km mwenzie Ottawa. Msieeew zake.
Ottawa yupoMsigwa huyo akaweka kiini macho ili dereva aangushe gari, abiria wafe yeye apate kafara, huyu baba atatuua wangoni wote khaaah.
Tutamchoka na tutamfurusha km mwenzie Ottawa. Msieeew zake.
labda alikuwa mwanaeDada pole ila usitafute huruma eti mtu unayemjua ,ungemgonga tu
My dear hii ni hear say tu..suala la ajali za barabarani ni tatizo la kidunia..Wacha wee? Sasa habari ikufikie hapo. Baba huyo anatoa sana kafara mlongo.
Haya sawa mlongo, ila dereva kasemaje?My dear hii ni hear say tu..suala la ajali za barabarani ni tatizo la kidunia..
Yupo Makambako, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ottawa yupo
Kishoka cha nini dirishani wakati kuna handrest mkuu..Kasema eneo halikuwa na Kona hatarishi labda aliweka kishoka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani,wapenzi wa feo tukimbilie wapi jaman[emoji50]Haya sawa mlongo, ila dereva kasemaje?
Mwenyewe kampuni yangu pe dwa feoWa kunyumba super feo ni kampuni yangu pendwa
Yupo busy anatafuta dereva mwingine anaefanana na halima akamtoe kafara apate yutong 5.Boss wake yupo
Tuwe positive sometime, kasema kona zote alizikata vizuri tu hiyo ya mwisho ya kawaida tu na ndo mauzauza yalipotokea kuna dereva giriki tushamuongelea sana hapa aliwahi kubwaga bus kona hizoAkubali tu alishindwa kulimudu gari kwenye kona kutokana na kuwa katika mwendo mkali. Hayo mambo ya kumkwepa mtu anaye mfahamu, na kushindwa kulimudu gari na kupinduka; ni utetezi wa kufikirika.
Yaani ni sawa na mtu afanye kitendo cha ubakaji, halafu ajitete eti Shetani alinipitia! Alikupitia kwenda wapi!
All in all, pole nyingi kwake. Hata mimi niliyaona yale mahojiano yake na yule mwandishi wa Azam Media.
Umeweka vizuri kuwa ni Africa. Naendesha magari ya mizigo ya masafa kwenye nchi za dunia ya kwanza, si usiku si mchana kwa miaka sijaona mauzauza yoyote.Afrika ulozi upo sana tu..sema wafia dini za wazungu na waarabu watabisha.
Chamsingi omba yasikukute.
#MaendeleoHayanaChama
Pole yake. Nimeendesha sana magari ya abiria tangu nikiwa nina miaka 24 enzi hizo nilichojifunza ni kufanya sala fupi kila unapoanza safari na kumtanguliza Mungu. Ni kwa kufanya hivi kwa imani yangu, nimeshuhudia, na kweli Mungu ameniepusha na mauzauza ya barabara kwa namna nyingi. Mfano nimeshapakia abiria kitokea Magomeni Mapipa kuelekea Moro, kufika usalama tu pipe ya oil inapasuka oil yote chini! Kwa tafsiri yangu, malaika walinigomea kuifanya hiyo safari.Afrika ulozi upo sana tu..sema wafia dini za wazungu na waarabu watabisha.
Chamsingi omba yasikukute.
#MaendeleoHayanaChama