Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja kwanza nichekeSiku chache baada ya tukio la kukatika mkono wa kulia, Halima Mbwana aliyepata ajali wakati akiendesha basi la Super Feo lilipokuwa likitokea Songea kwenda Dar es Salaam, ameelezea kilichotokea sikunde chache kabla ya tukio.
Kwa sasa Halima anaendelea na matibabu kwenye hospitali ya rufaa ya St. Benedict iliyopo Ndanda Mtwara baada ya ajali hiyo iliyotokea Mei 22, 2022.
“Wakati natokea Songea kwenda Dar es Salaam kupitia Lindi, sehemu zote hatarishi nilikuwa nimeshazivuka, kuna sehemu ina kona ya kawaida sana, nikaona kuna mtu anavuka kutoka kulia kwenda kushoto na nina mfahamu, ilikuwa ghafla sana.
“Nilishtuka sana, nikawa namkwepa, kushtuka gari likawa limeshalalia upande mmoja, lakini baadaye nilibaini kuwa hakukuwa na huyo mtu, ni miujiza tu ya barabarani, hivyo vitu vipo.
“Wakati gari linalala mkono wangu ulikuwa nje, lilivyoanguka mkono wangu ulikatika palepale nauona, nikakumbuka kuwa gari bado linawaka na inaweza kulipuka, nikatumia mkono wangu wa kushoto kulizima kwa usalama wa kuondoa moto.
“Namshukuru Mungu, nilihudumiwa vizuri hospitali, ndoto yangu ilikuwa kuendesha gari zaidi ili baadaye nisomee urubani, lakini sijakata tamaa kuwa maisha yangu yameishia hapa,” – Halima.
Source: Azam TV
Pia soma: Basi la Super Feo Songea-Dar via Lindi limepata ajali. Dereva mwanamke avunjika mkono
Ndo imeisha hivyo hataweza endesha PSVStill ataendelea kutimiza ndoto yake apate mkono wa bandia ila sijui kama sheria za udereva zinaruhusu, kuendesha kwa mkono bandia
Ipo hii!Nimewahi kutana na hiyo hali na ilibaki kidogo tufe mimi, baba, mama, mjomba, watu kama 7 hivi
Niko speed 150kmph ghafla mbibi anatokeza mbele akiongea na simu, afu macho yakapoteza visibility, ghafla niliyekuwa naye akashika steering akitaka kumpisha nisimgonge, hapo nishapanic honi nabonyeza hailiii....
Nikasema liwalo na liwe, nikapita pale pale, mshangao yule bibi sikumgonga...
Ningempisha hata kidogo nisingekuwa hapa leo
Ni msigwa huyu huyu Mchungaji aliekuwa Mp Iringa Mjini?.Msigwa kama msigwa[emoji23]
Ninavyopenda superfeo/selous[emoji23][emoji23][emoji23]tutakufa
Acha ujuaji mkuu kitimotoMkono nje ya gari unafanya nini alafu analiendesha gari
Waarabu unamaanisha uislam? Sisi waislamu tunaamini uchawi upo, labda Kama una lingineAfrika ulozi upo sana tu..sema wafia dini za wazungu na waarabu watabisha.
Chamsingi omba yasikukute.
#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana lol.Hahah...
Hapana aliendelea na mishe zake, mimi nikaendelea kuchapa lapa kuwahi niendako...
Mnooo, hii ajari ya 5 huu mwaka.Kwani gari zake zinapata Sana ajali
Bora new force, sio hao selous na super feo, wee khaaaahNew Force tena si Bora Tavavile. Sasa hivi nimekuwa muoga kusikia hizi habari za Superfeo ndiyo gari yangu Pendwa
Dea mwenye super feo.Msigwa gani tena?....
Akikataa kutoa kafara mtoto wao, na huyo mwanamke ni mndendeule wa Namtumbo, katoa siri nje. Na sahivi ananunuq kafara kwa watu. Huyu msigwa tutamchoka wallah.SuperFeo aka Omary M.Msigwa.jamaa ana mambo ya kishirikina kiasi hata mke wake wa kwanza alikataa kufunga nae ndoa na wameachana licha ya kuwa na watoto.kwa sasa inasemekana ameoa mwanamke mwingine mwenye asili ya kizungu na ndoa walifungia dar es salaam.nb mke wa kwanza ni mlokole
Sio huyo.Ni msigwa huyu huyu Mchungaji aliekuwa Mp Iringa Mjini?.
Haiwezikani basi anatoa kafaraMnooo, hii ajari ya 5 huu mwaka.
Kwan ni uongo? Akati songea nzima inajua hilo, ananunua sahivi kafaraaa.Haiwezikani basi anatoa kafara
Unaweza kuta Mkuu kiti moto ni Mwanasheria msomi! hapa kwa jukwa la JF ana plactis Sheria!!!??Acha ujuaji mkuu kitimoto