Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
New Force tena si Bora Tavavile. Sasa hivi nimekuwa muoga kusikia hizi habari za Superfeo ndiyo gari yangu PendwaNa mtakufa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tangu nipate habari zake za kununua kafara, sitaki mie.
Napanda new force na tavavili.
New force Wachina sidhani kama Wana mambo hizi,Mimi najiuliza mbona madereva wa kichina wao walikuwa awapati ajali walipokuwa wakiziendeshaNew Force tena si Bora Tavavile. Sasa hivi nimekuwa muoga kusikia hizi habari za Superfeo ndiyo gari yangu Pendwa
New Force ilikuwa hivyo zamani kidogo ...sasa hivi sijui sema naogopa tu. Ila mimi naongelea kuhusu ajali nadhani sbb ya speed.New force Wachina sidhani kama Wana mambo hizi,Mimi najiuliza mbona madereva wa kichina wao walikuwa awapati ajali walipokuwa wakiziendesha
Akubali tu alishindwa kulimudu gari kwenye kona kutokana na kuwa katika mwendo mkali. Hayo mambo ya kumkwepa mtu anaye mfahamu, na kushindwa kulimudu gari na kupinduka; ni utetezi wa kufikirika.
Yaani ni sawa na mtu afanye kitendo cha ubakaji, halafu ajitete eti Shetani alinipitia! Alikupitia kwenda wapi!
All in all, pole nyingi kwake. Hata mimi niliyaona yale mahojiano yake na yule mwandishi wa Azam Media.
[emoji23][emoji23][emoji23]Niliwahi kuskiliza stori za madereva kuwa nikiona kitu nisikwepe siku moja nililipishwa kuku hadi leo nakwepa
Ukifanya utafiti kidogo utagundua madereva wa safari ndefu hususani mabasi na malori mara nyingi huwa wanatoa mkono nje ya dirisha wakati wakiendesha chombo. Nadhani sababu ni kuwasaidia kuondoa uchovu na usingizi kwa kupigwa na upepo..MtizamoMkono nje ya gari unafanya nini alafu analiendesha gari
Msigwa gani tena?....Msigwa huyo akaweka kiini macho ili dereva aangushe gari, abiria wafe yeye apate kafara, huyu baba atatuua wangoni wote khaaah.
Tutamchoka na tutamfurusha km mwenzie Ottawa. Msieeew zake.
Daah kitu kama hii niliiona Sukamahela pale Singida bibi mmoja yuko katikati ya barabara na yuko umbali wa mita chini ya 5, eeee buana weeee ile kuhamaki na kutoa macho pamoja na kushika kichwa akili ikiwa imehama mtu anaonekana nyuma akikatisha barabara kulia kwenda kushoto ukitokea Dodoma.
Hapo ndio nikajua kuna mambo japo ile picha kichwani huwa haileweki (ninachoona ndicho au naota)
Fix!
Kugonga mtu huku unatambua kabisa ni mtu ujue ni ngumu sana-lazima uanze kujihami tu kwa kumkwepa. Hata tu wanyama wa usiku huwa tunafanya jitihada usimgonge na hapa ndio mauza uza huwa yanawaingiza mkenge madereva wengi.We gonga tu. Fanya kama umeona Zombie.
New force Wachina sidhani kama Wana mambo hizi,Mimi najiuliza mbona madereva wa kichina wao walikuwa awapati ajali walipokuwa wakiziendesha
Vipi umeiona, nimekurushia.Mchangieni jamani acheni roho mbaya!
0626452699
Jina litakuja Saadiya Shekhe Mbwana
Msigwa gani tena?....
Mpigie umpe pole halima!Vipi umeiona, nimekurushia.
Mi mtu akijileta nambeba tu afu tutajuana mbele kwa mbeleKuna mengi barabarani, wale walioaga vizuri nyumbani, akiona chochote kinakatiza barabara ghafla ni kupasua tu na hakuna lolote.
Sent using Jamii Forums mobile app