Dereva wa basi la shule adaiwa kumnajisi Mtoto wa miaka 5

Mimi shule wanangu wanasoma kila gari linakua na mwalimu,sinaga ujinga wa kusomesha shule za bora liende
Unafanya vizuri sana. Lakini wakati mwingine sisi watanzania ni watu sijui nisema waoga au tu wazembe, yaani mzazi anakubali mtoto wa miaka mitano apande kwenye basi bila uangalizi wa mtu? Vitu vingine ni kutumia common sense tu.
 
Ukimtia gumi la kolomeo atadai mganga kamtuma apate kuwa mvuta kwa mpenzi au utajiri.
 
Huu mchezo wa madereva kukaa peke yao na watoto kwenye gari bila kua na mdada (awe kama matron) kwenye gari sio wa kuvumilika. Kila bus liwe na dereva Ila na mdada wa kuwaongoza watoto.
Ila ni kwetu tu, hii naamini yatakuwa ni ya imani za kishirikina tu, hata tukimuuliza mtuhumiwa utakuta ana mke na mabibi kibao, akatwe mhogo tu..
 
Wanyakyusa tena!
 
Broh me huwa nahisi kuna kitu cha ziada tofauti na hizo unazoita nyege mshindo. Hivi imagine mtu anakuwa satisfied vipi na dogo wa miaka 5?

Mbona madem wanapatikana kirahisi sana mitaani tunamoishi?
 
Mbuzi wanaingiliana sana kinyume na maumbile [emoji28][emoji28][emoji28].

Ila kiufupi kuna kitu hakipo sawa kwa huyo dereva au wote wanaotenda haya matukio
 
Mbuzi wanaingiliana sana kinyume na maumbile [emoji28][emoji28][emoji28].

Ila kiufupi kuna kitu hakipo sawa kwa huyo dereva au wote wanaotenda haya matukio
... labda buzi wa kwenu mkuu.
 
Huyo dere wamkate tu mboo na pumbu zake wamtilie mfukoni wamwache akwende zake
 
Huku dar shule nyingi tu wanakuwa na mwalimu wa kike na dereva bna hata sio za masister
Hizo sawa kusomesha mtoto,sio zile shule watoto wanapelekwa na bazazi tu,ambalo wanawake wakubwa haliwaoni linataka watoto
 
Kwan mdada hawazi kumnajisi mtoto wa kiume??

Hujawah sikia mdada anamchukua mtoto wa kiume na kufanya nae yjinga?

Dunia imeharibika, suluhisho ni kuwa wahudumu ndan ya hilo bus
Ndugu yangu upo sahihi kabisa kuweka mhudumu lakini umewai kujiuliza hata madereva wa hizo school bus wanalipwa shingap? Sembuse kuweka wahudumu dereva mwenyewe mshahara mauzauza sasa iyo ela ya kuwalipa ao wahudumu inatoka wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…