Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Acha kutisha watu,kwahiyo kufa kwenye umasikini na ufukara ndio mwisho mzuri.

PDidy yawezekana ni victim tu wa mengi ila huna ushahidi kama alikua anawalala wanaume wenzie.
 
C ndio hayo hayo mambo yao?😀
Ila museveni kakataa ushoga, kitu ambcho wao illum wanakitaka, utasema yumo?,
Museveni hawana shida naye, wanajua muda wake umebaki mchache na wao mipango yao ni ya muda mrefu, still Uganda ni yao na resources za pale bado wanachota wanavyo taka.
 
Museveni hawana shida naye, wanajua muda wake umebaki mchache na wao mipango yao ni ya muda mrefu, still Uganda ni yao na resources za pale bado wanachota wanavyo taka.
Duuh okay , so mkuu suala la mafanikio ya kiuchumi kwa mfanyabiashara haiwezekani mpaka uwe upande wa devil? Yaani hakun njia halali?,
Unamzungumziaje benj fernandez ukiangalia his goal?
tunachukulia mfano tu kaka
 
Duuh okay , so mkuu suala la mafanikio ya kiuchumi kwa mfanyabiashara haiwezekani mpaka uwe upande wa devil? Yaani hakun njia halali?,
Unamzungumziaje benj fernandez ukiangalia his goal?
tunachukulia mfano tu kaka
Wafanya biashara ambao biashara zao zina husika na resources muhimu ndyo wanahusika na hizo society, mfano watu wa teknolojia, vyakula, na medicine.
 
Wafanya biashara ambao biashara zao zina husika na resources muhimu ndyo wanahusika na hizo society, mfano watu wa teknolojia, vyakula, na medicine.
MKuu hata( NALA) c tunawez sem iko katika technology?
 
Wafanya biashara ambao biashara zao zina husika na resources muhimu ndyo wanahusika na hizo society, mfano watu wa teknolojia, vyakula, na medicine.
Pia mkuu samahani , wale akina nikola tesla , albert eisteen, ule uwezo wa kiakili, inaweza kuwa sababu ya illum kukufata na kutaka ujiunge nao?
 
Mkuu iv kuna utofauti kati ya illuminate na freemasons?
Kupiga picha haimaanishi na hao Marais ni miongoni mwao.

Kumbuka hao Marais ni wakuu wa nchi wanapiga picha na kila aina ya viongozi wa kiimani kuanzia wakristo ,waislamu ,budha na hata hao freemason.
 
Kupiga picha haimaanishi na hao Marais ni miongoni mwao.

Kumbuka hao Marais ni wakuu wa nchi wanapiga picha na kila aina ya viongozi wa kiimani kuanzia wakristo ,waislamu ,budha na hata hao freemason.
Hhhh, sawa mkuu

Lakini kaa ukijua kwamba hakuna rais katika hii dunia ambaye sio member
 
Hili liwe funzo pia kwa wengine wapenda utajiri wa shortcut
Behind-the-Bieber-P-Diddy-rumors_lede-3893316261.jpg
 
Back
Top Bottom