Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #81
Labda muda wake umekwisha.Itakuwa Kuna watu alizinguana nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda muda wake umekwisha.Itakuwa Kuna watu alizinguana nao
AiseeWakati member mpya wa Freemason anafanyiwa initiation, anaambiwa mambo yafuatayo.
Kwanza, anaapishwa kutunza siri na mambo yote nyeti ya taasisi, kiapo hicho hufanyika akiwa kifua wazi, then grand Master anachukua bikari yenye ncha kali, pia anaweza kutumia upanga, anamchoma nayo muhusika upande wa kushoto, juu ya kiini cha ziwa au kufua, then anamuuliza unasikia nini?
Muhusika anajibu, nasikia maumivu, anamchoma tena mpaka ifike mara tatu, then anamwambia siku ukitoa siri utapata maumivu makali zaidi ya hayo, yani moyo wake utatolewa live akiwa anaona.
Pili, wakati muhusika anachukua kiapo, anaweka mkono wake wa kulia upande wa kifuani mwake ( kama ambavyo watu hufanya wakiimba wimbo wa taifa) then anaapa kwamba atatunza siri sawa na kutunza moyo wake.
View attachment 3106668
Stori za vijiwe vya kahawa itakuwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ulijuaje haya yote. Ulishakuwa member wao?
Umeona hiyo picha niliyo ambatanisha hapo? Ina tofauti gani na maelezo niliyo yatoa??Stori za vijiwe vya kahawa itakuwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wala si waamini, maana walienda wenyewe kwa tamaa zaoWewe unaamini hilo?
Naunga mkono hojaLabda muda wake umekwisha.
Umefuatilia na umetafakari alichokisema Kanye West ?Utafikiri ninyi ni watakatifu, mnapenda kufurahi matajiri wakipata kashkash ili muuhusishe utajiri wao na shetani sijui freemason.
Acheni hizo mbanga, kuna watu wanapenda kula vitoto vidogo, wao starehe yao ni kupiga miti vitoto huyu akidakwa mtamsingiia ndu yenu shetani, wengine ndo hao wafukua mitaro, shetani anapata kesi kwa upumbavu wa mtu binafsi.
Duu sasa mkuu unataka kuniambia hpa bingo wafanyabiashara wote wamo wakubwa na wadogo?Wanasiasa ndyo huwa wanalazimishwa kwa lazima, watake wasitake, tena wanafanyiwa kitu kinaitwa "Blackmail"
Hao wengine kama wafanyabishara pia wanaweza kulazimishwa, kwasababu mifumo yote ya level za kimataifa imejaa members wa hiyo society, ni ngumu kuwakwepa.
Qualify your statement plzPDidy is a victim. Very innocent
Na ukiwa kataa?Wanasiasa ndyo huwa wanalazimishwa kwa lazima, watake wasitake, tena wanafanyiwa kitu kinaitwa "Blackmail"
Hao wengine kama wafanyabishara pia wanaweza kulazimishwa, kwasababu mifumo yote ya level za kimataifa imejaa members wa hiyo society, ni ngumu kuwakwepa.
HapanaUmefuatilia na umetafakari alichokisema Kanye West ?
Umefuatilia na umetafakari alichokisema Kanye
So na wanasiasa wote wamo wa tz?Wanasiasa ndyo huwa wanalazimishwa kwa lazima, watake wasitake, tena wanafanyiwa kitu kinaitwa "Blackmail"
Hao wengine kama wafanyabishara pia wanaweza kulazimishwa, kwasababu mifumo yote ya level za kimataifa imejaa members wa hiyo society, ni ngumu kuwakwepa.
Mkuu mimi siwafahamu kwa majina, ila naamini wapo wengi tuDuu sasa mkuu unataka kuniambia hpa bingo wafanyabiashara wote wamo wakubwa na wadogo?
Mkuu naomba ufatilie, kuna kitu utakipata.Hapana
Duu ila freshi ngoja tupambane tufike huko kimataifa, ushenzi wao hao watajua wenyewe.Mkuu mimi siwafahamu kwa majina, ila naamini wapo wengi tu
Unajua kwanini Jiwe alikuwa hataki kwenda Europe/ America?Na ukiwa kataa?
Mana wengne tunataka tufike kimataifa sasa itakuaje🤔😰
Yani hapo issue ni kumfirisi Pdidy, More money will come to you mo problem will see, hicho kipande aliimba na Big.Wala si waamini, maana walienda wenyewe kwa tamaa zao
Jiwe mwenyewe ni mfano wa shetani tu.Unajua kwanini Jiwe alikuwa hataki kwenda Europe/ America?