Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Wakati member mpya wa Freemason anafanyiwa initiation, anaambiwa mambo yafuatayo.

Kwanza, anaapishwa kutunza siri na mambo yote nyeti ya taasisi, kiapo hicho hufanyika akiwa kifua wazi, then grand Master anachukua bikari yenye ncha kali, pia anaweza kutumia upanga, anamchoma nayo muhusika upande wa kushoto, juu ya kiini cha ziwa au kufua, then anamuuliza unasikia nini?

Muhusika anajibu, nasikia maumivu, anamchoma tena mpaka ifike mara tatu, then anamwambia siku ukitoa siri utapata maumivu makali zaidi ya hayo, yani moyo wake utatolewa live akiwa anaona.

Pili, wakati muhusika anachukua kiapo, anaweka mkono wake wa kulia upande wa kifuani mwake ( kama ambavyo watu hufanya wakiimba wimbo wa taifa) then anaapa kwamba atatunza siri sawa na kutunza moyo wake.

View attachment 3106668
Aisee
 
Wana muziki au wasanii wengi wenye mafankio makubwa kwenye industry zao hasa huko Marekani wapo kwenye hilo chama. Hata hapa bongo the same. KAMA UNABISHA ENDELEA KUBISHA. Sema tusiwahukumu sana wengine bila sisi kufanya mahusiano yetu na Mwenyezi kuwa mazuri. Ni bora kuwa freemason ule maisha kuliko maisha kukupiga halafu mwisho wa siku wewe na freemason wote mtachezea kichapo kilekile motoni. Kwani kuna tofauti gani kati ya kuwa freemason au illuminant member na wewe unafanya dhambi ya uzinzi, na mengine kama hayo na huna mpango wa kutubu na kumrudia muumba wako?

"Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii? Au, utawezaje kumwambia ndugu yako, Ndugu yangu, niache nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako, nawe huiangalii boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako."
 
Utafikiri ninyi ni watakatifu, mnapenda kufurahi matajiri wakipata kashkash ili muuhusishe utajiri wao na shetani sijui freemason.

Acheni hizo mbanga, kuna watu wanapenda kula vitoto vidogo, wao starehe yao ni kupiga miti vitoto huyu akidakwa mtamsingiia ndu yenu shetani, wengine ndo hao wafukua mitaro, shetani anapata kesi kwa upumbavu wa mtu binafsi.
Umefuatilia na umetafakari alichokisema Kanye West ?
 
Wanasiasa ndyo huwa wanalazimishwa kwa lazima, watake wasitake, tena wanafanyiwa kitu kinaitwa "Blackmail"

Hao wengine kama wafanyabishara pia wanaweza kulazimishwa, kwasababu mifumo yote ya level za kimataifa imejaa members wa hiyo society, ni ngumu kuwakwepa.
Duu sasa mkuu unataka kuniambia hpa bingo wafanyabiashara wote wamo wakubwa na wadogo?
 
Wanasiasa ndyo huwa wanalazimishwa kwa lazima, watake wasitake, tena wanafanyiwa kitu kinaitwa "Blackmail"

Hao wengine kama wafanyabishara pia wanaweza kulazimishwa, kwasababu mifumo yote ya level za kimataifa imejaa members wa hiyo society, ni ngumu kuwakwepa.
Na ukiwa kataa?
Mana wengne tunataka tufike kimataifa sasa itakuaje🤔😰
 
Umefuatilia na umetafakari alichokisema Kanye

Wanasiasa ndyo huwa wanalazimishwa kwa lazima, watake wasitake, tena wanafanyiwa kitu kinaitwa "Blackmail"

Hao wengine kama wafanyabishara pia wanaweza kulazimishwa, kwasababu mifumo yote ya level za kimataifa imejaa members wa hiyo society, ni ngumu kuwakwepa.
So na wanasiasa wote wamo wa tz?
 
Wala si waamini, maana walienda wenyewe kwa tamaa zao
Yani hapo issue ni kumfirisi Pdidy, More money will come to you mo problem will see, hicho kipande aliimba na Big.

Kuna mshikaji wangu yupo Marekani alishawekwa jela na demu akatoka mambo yake super, kuna siku alichukuwa malaya wa dollar 300 wakaenda hotel walipomaliza kupeana mautamu demu anataka pesa yake jamaa alipiga simu Polisi dakika sifuri tu kipira hicho akawaambia wale Polisi demu anamletea fujo hotelini hataki kutoka kwenye room yake, Polisi walimchukuwa yule malaya wakaenda naye Polisi.

Kwahiyo inshort Marekani na ulaya kuna ukauzu ndio maana yule mchezaji wa Morroco mali alimuandikisha mama yake huna cha kumfirisi.
 
Back
Top Bottom