Dhana ya Kumuinua Mtoto wa Kike ni bomu kwa Vizazi vijavyo

Boys need to be taught to be even Bolder mana mabinti sikuhizi hawakamatiki..
 
Hellen kijo bisimba alifiwa na mumewe..... ni mjane
 
Unajua nature inam'beba zaid mtoto wa kiume maana yeye yuko na ujasiri tangu akizaliwa na huwa imejengeka hivyo, hili suala la kumuinua mutoto wa kike na kufanya kuwa kama mtoto wa kiume limetafsiriwa vibaya na hao feminists. Lakini kama mzazi mwenyew mtoto wa kike ni lazima umjenge mwanao wa kike kuwa na ujasiri lakini kutambua mipaka yake ni hipi ..maana yuko kwenye ulimwengu ambayo unam'beba zaidi yeye kuliko uyo wa kiume. Kuweza kubadili hili suala ni gumu sana. Maana ni mipango ya muda mirefu hivyo ni jukumu la kila mwenyew mtoto kama ni Me au Ke kuwajenga katika hali ya kuweza kuamini misimamo yao wenyewe.
 
Ni kweli
Na ndio hapo ili kuzuia madhara ni vyema wavulana nao wasiachwe nyuma..ili kubalance hio effect..mana kwa sasa mtoto wa kike hanyanyaswi..

kuna kizazi kinatengenezwa hapa mabinti kitakua kero; hawa wa leo cha mtoto

mzazi utamjenga ila anayokutana nayo huko duniani?.
Lazima kuwe na jitihada za makusudi ili wanawake nao pia wabalance

'jambo lolote hata liwe zuri kiasi gani kama halina kiasi ni dhara kubwa'
 
Wewe kwa mfano utakubali mwanao wa kike aongozwe na mwanaume badala ya kujiongoza mwenyewe? Hapa naongelea kwa mtizamo wa kujenga mtoto wa kike ujasiri na kujiamini.
Ukiielewa mada vizuri utaelewa kinachozungumzwa, hapa tunazungumzia upotoshwaji unaofanywa na hawa wanaharakati, kumjengea mtoto ujasiri na uwezo ni jukumu la jamii nzima bila kujali wa kike au wa kiume, jamii kwa sasa imeweka focus kubwa kwa mtoto wa kike na huyu wa kiume amesahaulika, vipaumbele vingi kuanzia kwenye elimu mpaka ajira vimewekwa kwa mtoto wa kike matokeo yake watoto wa kiume wamebaki nyuma, kiini cha hii mada ni kuhakikisha watoto wote wanapata fursa sawa bila kujali jinsia
 
Wait..... Kuna siku ya mtoto wa kiume siku hizi au nimesoma vibaya?!
 
Umeshasema nature! Binadamu hatupaswi kuingilia mifumo ya asili!
Wanawake walipaswa kupewa tu upendo na huruma vya kutosha. Vingine vinavyoendelea n kumuinua shetani!
 
Wait..... Kuna siku ya mtoto wa kiume siku hizi au nimesoma vibaya?!
Yes siku ya mtoto wa kiume ipo, ila sijajua ni kwa nini haipewi kipaumbele tena haijulikani kabisa, ili kuwasaidia vijana wetu inabidi tuanze kuipa kipaumbele siku ya mtoto wa kiume
 
Kwa nyakati zijazo zitakua nyakati ngumu sana kwa watoto wa kiume, pengine hawatapata elimu bora, hawatauzika kwenye soko la ajira na pengine watakua hawana confidence mbele ya wanawake since they have been neglected
Sasa watakachofanya baada ya hili ni kitu Cha hatari
 
Leo unaongea madini balaa
 
Ni Frederick Douglass na siyo "Frederic Douglas".

Mkurugenzi ungeandika Kiingereza tuone kama kweli na wewe upo fluent na hii lugha maana mnapenda sana kuchukua pesa nyingi za mitihani ya majaribio kutoka kwa Wazazi wanaotaka watoto wao watoto waanze hiyo shule halafu mnawakataa kwa kisingizio hawakidhi vigezo, na pesa mnabaki nayo. Shameless money grabbers na huyo mumeo pastor feki! Nyie ni majambazi na hamna huruma mnajificha kwenye kivuli cha Ukristo.
 
Mkuu mimi sio mkurugenzi bali nimenukuu andiko kutoka kwa Mkurugenzi, nimelileta hapa kama copy and paste ili tuweze kujadili na kujifunza

Asante pia kwa sahihisho
 
Mkuu mimi sio mkurugenzi bali nimenukuu andiko kutoka kwa Mkurugenzi, nimelileta hapa kama copy and paste ili tuweze kujadili na kujifunza

Asante pia kwa sahihisho
Ujumbe umefika lakini kama huyo "Mkurugenzi" anaingia humu na kusoma. Wanawakataa watoto halafu hapohapo anatokea Mwalimu aliyesimamia mitihani ya majaribio anakwambia yupo tayari kuwapa wanao tuition ili wafikie "viwango" vya shule yao na hatimaye wakubaliwe utadhani ni shule moja ya hadhi ya juu sana. Ukweli huyo "Mkurugenzi" hata Kiingereza ni cha kuunga unga, achilia mbali walimu wao choka mbaya
 
Wapiganie wenyewe Kama ambavyo mtoto wa kike amepigania kufikia hapa.
Kibao kimegeuka....wapitie yale yale aliyopitia mtoto wa kike. Wamasai wanaita Karma[emoji3]
80% ya shughuli za haki sawa mwanaume ndie amefanya zifanikiwe.......

Kama ukibisha nitakuuliza swali moja, kama wanawake ndio walipigania then mbona hatukuona resistance ya mwanaume......?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…