Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Kuna mkuu mmoja amenionya kuhusu huu ujinga wako.

Namsikiliza sana,ila wewe nataka ushike adhabu.

Kujua kufunga electric fence, CCTV camera,na mambo mengine isikufanye ukasumbua wazima kila siku kwa mizaha yako.
 
CC Poor Brain
 
Wewe acha tu! Nilirushwa na umeme nikatua kule na kubiringita mara 3.....i actually experienced a push from electric shock.....
Umeme unarusha sio dhana....haijakukuta tu usingeweka uwo uzi.
 
The Spirit of Tanzania Mkuu naomba nipe dakika mbili kidogo naona kama kuna mambo yanatala yasiwe sawa kuhusu haya maswali sijaona changamoto hapo
Kuna swali hili pia nisaidie katika utoaji wako wa elimu mkuu maana sijajibiwa hadi sasa

Mkuu umesoma umeme upande wa Electromagnetism si ndio

Naomba nisaidie maswali haya

1.Ni nini kinacho determine the powerfulness of magnetism,kupitia jibu lako nipe kanuni itakayo sadifu maelezo yako.

2.Ni namna gani eneo la uzalishaji wa magnetism inaweza affect nguvu ya electromagnetism nipe kanuni itakayo sadifu maelezo yako.

3.Nitajie vyanzo vya kuzalisha electromagnetism na niambie kipi bora zaidi na uthibitishe ubora huo kupitia kanuni za kila chanzo kuonyesha ubora wake..

Nawakilisha

NOTE:Usitumie chatGPT sababu majibu ya mfumo huo ni ya ki A.I yanajulikana..

Karibu...
 
Wewe acha tu! Nilirushwa na umeme nikatua kule na kubiringita mara 3.....i actually experienced a push from electric shock.....
Umeme unarusha sio dhana....haijakukuta tu usingeweka uwo uzi.


Kama umeme unarusha unajua matumizi ya hii mkuu...?
 
Hii ni Kwa ajili ya kunasua mtu kashikwa na umeme wenye voltage kubwa(UMEME KAUSHA MAJI) wa kwenye nguzo za umeme.....ila umeme wa nyumbani unashika na kukuachia kwa msukumo wa low voltage(UMEME USIMSHIKE
Sawa nielezee kisayansi au kitaalamu namna umeme unaweza kukurusha,bila kuhusisha maamuzi yako binafsi ya kujiokoa kupitia ubongo wako wa maamuzi au kupitia ushawishi wa Oblongata!
 
1. Kinacho determining power ya magnets inategemea ni tempo au perm fadanua swali vzr kanuni

Nakuja wakuunakua natingwa n kazi
 
Naombeni msamaha wakuu.
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ŒπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Sawa nielezee kisayansi au kitaalamu namna umeme unaweza kukurusha,bila kuhusisha maamuzi yako binafsi ya kujiokoa kupitia ubongo wako wa maamuzi au kupitia ushawishi wa Oblongata!
Hakuna sayansi ila ni dhana tu broo...hapo kinachotokea ni function of centra nervous system....which draw away a victim's body unconsciously from danger.....sasa hapo kwasababu hatujasoma mifumo ya fahamu ya mwili inayorespond the external stimulii.......tunasema tu hivi Nimerushwa na umeme.
KWELI WEWE UNAELEWEKA NA SOMO LAKO LA UMEME SHUKRANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…