Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Ahahaaaaa...! Utarushwa mpaka kwa jirani...Kuna bint mmoja jirani mrembo sana, ila nimesikia ana Umeme!, naonjaje hii asari bila ya umeme wake kuingilia mifumo yangu ya fahamu?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaaaaa...! Utarushwa mpaka kwa jirani...Kuna bint mmoja jirani mrembo sana, ila nimesikia ana Umeme!, naonjaje hii asari bila ya umeme wake kuingilia mifumo yangu ya fahamu?...
Mbona mambo nimeweka wazi mkuuJamaa ni mjinga sanaa!
Anasema amesoma umeme eti kwenye physics in education topic ya ELECTROMAGNETISM🤣
Mtaalamu wa umeme unaongea series na parallel ya ammeter?Sio mtoto wa 2000 mimi mkuu.
Kuwa na heshima kama huna hoja ya kubishana na mimi tulia.
Wenzako wanabishana kwa cv hapa ukute hata ujue mambo ya parallel na series connection ya ammeter..
So cool down
Huna hoja niacheMtaalamu wa umeme unaongea series na parallel ya ammeter?
HEM TUELEZE,AMMETER LINI IKAUNGWA PARALLEL CONNECTION?
LINI?
MKUU,KWA UONGO WAKO HUU,UNAISHI KWA SHIDA SANA.Mbona mambo nimeweka wazi mkuu
Sikuachi,huu ni upotoshaji.Huna hoja niache
Tulia nishakukalisha kwa hoja madhubutiMKUU,KWA UONGO WAKO HUU,UNAISHI KWA SHIDA SANA.
INAONEKANA UNATAKA KUONEKANA UNA AKILI AMBAZO KIUKWELI HUNA.
Heeh...! Hii imekujaje ghafla?. Kwa hiyo wewe tunavaa viatu wakati tunatembea kila mara kokote ili tusipigwe short ya umeme?. Uko serious au unatania?. Ukute mtu ndio uko serious hivyo, unamaanishaHuna hoja ya kubishana na mimi..
Mi ni fundi mkuu nimesoma umeme miaka miwili...
Labda niulize chochote kuhusu umeme nikujibu..
Nimesoma umeme toka form 4 na nimetoka na 1 kali ya physics
Adv nimesoma PCM nimesoma umeme wa advance..
Sasa sijui unataka kunirekebisha nini hapo...
Unatanguliza neno unadhani.. mbele yangu..
UJE,NAKULIPUA.Tulia nishakukalisha kwa hoja madhubuti
Na saa tisa nakuja
IT?Kuna lecture anaitwa mahenge pale alinifundisha IT
Mkuu kwani ni vita? Mbona umekuja na mihemko kama kuna ugomvi, Hata Sisi wa drs la saba tuliokaririshwa mwili wa panzi tunaujua pia umeme kwa kiasi fulani, hakuna haja ya mihemko ni kueleweshana tu.Huna hoja ya kubishana na mimi..
Mi ni fundi mkuu nimesoma umeme miaka miwili...
Labda niulize chochote kuhusu umeme nikujibu..
Nimesoma umeme toka form 4 na nimetoka na 1 kali ya physics
Adv nimesoma PCM nimesoma umeme wa advance..
Sasa sijui unataka kunirekebisha nini hapo...
Unatanguliza neno unadhani.. mbele yangu..
Mkuu naona unafuatilia mtanange kimya kimya!Ninaamini mpaka sasa kuna mmoja ameonesha kujimwambafai ktk masuala ya umeme, kwa sasa anacollect data sehemu mbalimbali ili aje atulevee CV uchwara saa 9.
Kuna vitu kama vipo nje ya uwezo wako wa ubongo kung'amua ukweli huwa mnasema ni chai ila kwasisi tuliosoma mambo ya ufanyaji kazi mwili na mambo ya umeme tunamkubalia alichokisema mleta mada. Sijui huko madarasani mlikuwa mnaishia kumung'unya ubuyu na kula vishata vya mwalimu wa kiswahili tu au vipi. Vitu vidogo kama hivi pia mnasema chai, sasa ukielezewa mambo ya QUANTUM THEORY AND THE UNIVERSE si ndo hata thread yenyewe hautaimaliza😂😂
Wewe kweli unaoneka unasoma form 4 umefundishwa practical huko ya parallel and series connection basi mbio mbio kuja huku kusumbua watuSio mtoto wa 2000 mimi mkuu.
Kuwa na heshima kama huna hoja ya kubishana na mimi tulia.
Wenzako wanabishana kwa cv hapa ukute hata ujue mambo ya parallel na series connection ya ammeter..
So cool down
Sio mtoto wa 2000 mimi mkuu.
Kuwa na heshima kama huna hoja ya kubishana na mimi tulia.
Wenzako wanabishana kwa cv hapa ukute hata ujue mambo ya parallel na series connection ya ammeter..
So cool down
😅😅😅😅 mkuu nipo nafatilia mtanange hapa.....Mtaalamu wa umeme unaongea series na parallel ya ammeter?
HEM TUELEZE,AMMETER LINI IKAUNGWA PARALLEL CONNECTION?
LINI?
KWANZA KABISA NIKUKUMBUSHE HAYA MACHACHE:Tulia nishakukalisha kwa hoja madhubuti
Na saa tisa nakuja
Kilichotokea hapo ni kuwa yeye alikuwa ni electric conductor kwasababu kwenye mwili wa binadamu pia kuna umeme ila mdogo sana kuuwezesha mwili kufanya kazi kutuma na kurudisha taarifa toka kwenye ubongo kwenda na kurudi kwenye viungo. So hizo nyaya zilikuwa zinapitisha umeme mkubwa kuliko kiwango cha maji kilichopo kwenye mwili wake. Mti nao pia hupitisha umeme ndiomana akapigwa shot na kukaushwa maji na mwisho kupasuliwa due to high concentration of electricity in his body.Sijaelewa vizuri hapa .
Nilimpoteza my cousin mwaka 2011 alipanda mti ambao juu ya huo mti kulikuwa na 'UMEME' (waya zinapita) alioigwa shoti Kali Sana na kusambaratishwa vibaya Sana.
Jamaa hajui lolote,anahitaji kujifunza,ila anataka kujiona na kuaminisha watu ana maarifa yote.😅😅😅😅 mkuu nipo nafatilia mtanange hapa.....
Hii ya parallel connection ya ammeter imeniacha hoi...
Huyu kama ni mwalimu wa VETA basi tumekwisha.
Mkuu kwanini vifaa vya Umeme mfano TV, Radio na Fridge kwanini ni vyepesi kuungua pale shoti inapo tokea au Umeme ukiwa Mwingi tofauti Computer?Huna hoja ya kubishana na mimi..
Mi ni fundi mkuu nimesoma umeme miaka miwili...
Labda niulize chochote kuhusu umeme nikujibu..
Nimesoma umeme toka form 4 na nimetoka na 1 kali ya physics
Adv nimesoma PCM nimesoma umeme wa advance..
Sasa sijui unataka kunirekebisha nini hapo...
Unatanguliza neno unadhani.. mbele yangu..