Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Huyu alitakiwa awe kichekesho tu na sio RaisZele ni boya hiii vita ata akiamka kesho aka withdraw inaishia lakini ana taka kukomaa na vita ambayo hawezi shinda hata akipewa jeshi la US
Kama Zele kafanyiwa hivyonchi za afrika trump aliziiti shit hole yaani shimo la mavi, viongozi wake si ndio atawaita uharo? Museveni tu alitishia kumkamata na kumfunga jela, haijulikana Trump anamheshimu kiongozi gani wa nchi gani ya Kiafrika na atatembelea nchi gani ya afrika kama ataendelea na dharau zake kwa mabara mengine. Ulaya yenyewe anaiona kama nyanya masalo tu
Sawa RussianSafi sana yaparuane tu, Urusi ni mwendo wa kusonga mbele tu.
Vita ya Ukraine inaendeshwa na Marekani. Marekani wamewapa Ukraine dola bilioni 500 kuendesha vita, bila Marekani Ukraine ingeshaanguka siku nyingi sanaTrump nae anashida, Ukraine ipo kwenye vita miaka yote ila anataka wapanda kichwani , hii sio sawa naungana na Ukraine,
Ahahah duuuh...Nipo siti ya mbele hapa. Ila kingereza hakina kufokafoka ingekua nihawa wandengeleko hapa,...aloooo
....zoba sana.....unatunisha vipi misuli kwa mtu kama Trump ?!!Zele ana tamaa sana
Aliitwa Dictator bado hakielewa tu
Kwa ujinga wake na tamaa za kusaini mkataba ndio udenda ukamtoka
Sasa katimuliwa hata Dinner hakula masikini 😄 🤣
...mikoa 5 ameichukua....vita ameshinda....na mbele ya rais Trump hafokewi kama rais Zelensky....kweli Rais Vladimir Putin ni mwamba.....Duu! alishanaswa mtego.Zelensky alidanganywa akadanganyika, anatakiwa akasurrender tu kwa Russia hakuna namna.
....umeingia kihisia zaidi ya uhalisia....macho yako hayaoni kuwa NO REFORM NO ELECTIONS can not be bought by a person like president Trump ?!! Ha ha haTrump nae anashida, Ukraine ipo kwenye vita miaka yote ila anataka wapanda kichwani , hii sio sawa naungana na Ukraine,
Hii yote inaonesha ukiwa na uchumi unakuwa na kiburi na kujiamini, muone JD na Trump wanavyoongea kwa kujiamini bila kigugumizi kama Zele. Wakuu tutafute hela.
.....alijipeleka mwenyewe sokoni kwa kuamini wajomba wa nje watamsaidia kwa kila analosimamia....kumbe si kweli buaaanaaa...,siasa za dunia zinakwenda kubadilika sanaaaa....Kwa Marekani na uzandiki wake ilivyo, kwa mazungumzo hayo yalivyo, Zelensky kaishauzwa tayari. A
"...nje hatuna wajomba"-Hayati JPM (resty easy amen).Kama Zele kafanyiwa hivyo
Sasa nataka na viongozi wa nchi masikini wawekwe mbele ya makamera wanapoenda na bakuli kuombaomba
Hiyo itapunguza safari zao za nje kwenda kuomba
Trump ashikilie hapo hapo
UK naona Waziri mmoja kaachia ngazi kisa PM alisema anapunguza sana misaada ili aongeze bajeti ya Ulinzi
Kila mmoja apambane na hali yake