Shukrani, nimeelewa.Dunia nzima inajipanga kuendelea bila US.
Europe inam support. Zelensky. Spain, UK, France wote wamesema wanam support Zelensky na Ukraine.
Kumbuka kulikuwa na deal ya kufaidisha pande zote pale, US walikuwa wanachujua madini kutoka Ukraine, kwa hiyo haikuwa msaada tu kwa Ukraine.
US ime exaggerate msaada wake anyway. Trump kasema msaada wa US ni zaidi ya Eurpoe, amesema ni kama dola bilioni 350.
Huo ni uongo. Ukweli ni kwamba msaada wa US ni kama dola bilioni 100 tu.
Sasa hivi kila rafiki wa US anayetegemea US anajipanga kuenxelea bila msaada wa US kwa sababu US inaonekana haitegemeki. Hili ni jambo baya sana katika diplomasia ya US.
Umesema Ukraine aki-withdraw, vita inaisha. A-withdraw kwenda nchi gani?Russia hakutaka kuvamia kama sio UK kukaza fuvu na lengo lake sio kuwafukuza wa Ukraine. Hii vita inge8sha kipindi kile wame kaa kupata suruhu ila Uk aka jitoa kwenye mazungumzo
Nimeshangaa kuona watu wanasema Zele ana dharau. Yeye ndio kadhalilishwa. Namsupport kwa kusimamia nchi yake. Huyo VP wa USA ana kiburi sana.Jamaa n wapuuzi sana wao ndo walitaka kumdharau na kumdhalilisha kikao kama hichi n cha siri ila wamejaza media ili wamtukane live ata mm ningevimba
Dunia nzima inajipanga kuendelea bila US.
Europe inam support. Zelensky. Spain, UK, France wote wamesema wanam support Zelensky na Ukraine.
Kumbuka kulikuwa na deal ya kufaidisha pande zote pale, US walikuwa wanachujua madini kutoka Ukraine, kwa hiyo haikuwa msaada tu kwa Ukraine.
US ime exaggerate msaada wake anyway. Trump kasema msaada wa US ni zaidi ya Europe, amesema ni kama dola bilioni 350.
Huo ni uongo. Ukweli ni kwamba msaada wa US ni kama dola bilioni 100 tu.
Sasa hivi kila rafiki wa US anayetegemea US anajipanga kuendelea bila msaada wa US kwa sababu US inaonekana haitegemeki. Hili ni jambo baya sana katika diplomasia ya US.
Watu wanaona ni rahisi tu Ukraine kumuachia Russia aingie na kuweka utawala wake pale Kiev. Hii ina affect sana Europe yote na kwa namna nyingine ina affect US as super power.Umesema Ukraine aki-withdraw, vita inaisha. A-withdraw kwenda nchi gani?
Huyo magu kafanya nini Cha maana kututoa kwenye vya bure mpaka anakufaMagufuli aliwajua mapema hawa wazungu hakuna kitu cha bure
Dinner Nini? Mwanaume unaalikwa eti unajutia kutokula dinner?Zele ana tamaa sana
Aliitwa Dictator bado hakielewa tu
Kwa ujinga wake na tamaa za kusaini mkataba ndio udenda ukamtoka
Sasa katimuliwa hata Dinner hakula masikini 😄 🤣
Yani Trump anajijua ana-vimiaka vyake vinne tu kwahiyo ni kuropoka tu.Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Sawa.Ukraine bila msaada wa USA hii vita anapigwa baada ya wiki 3 maximum.
Europe hana silaha za kupigana na Russia yani nao wanamtegemea US kwenye upande wa silaha. Ukraine bila NATO wasingeiwezq hii vita wanasaidiwa silaha, wanajeshi na pesa.
Sasa huyu comedian Zelensky hana namna anaenda kupigwa na Russia sio muda mrefu. Na wenzake watamgeuka aiachie Ukraine.
Kwa sababu ni raisi wa marekaniNapenda Trump anavyo ongea
Hii ni point kubwa sana mkuu asipokukuelewa achana nayeNaam.
Kwani ukiamini kitu wakati wewe ni dhaifu, udhaifu wako unakufanya usisimamie kile unachokiamini na unachotaka kusimamia?
Let me use a crude example to drive my point home vividly.
Wewe ukiwa mwanamme, hutaki kubakwa, halafu ni dhaifu, anakuja mwanamme mwenzako mbabe anataka kukubaka, utaacha kusimamia kuwa wewe ni mwanamme hutaki kubakwa kwa sababu tu huyo anayetaka kukubaka ana nguvu zaidi yako?
li tusigongew wake zetu hahaaaHii yote inaonesha ukiwa na uchumi unakuwa na kiburi na kujiamini, muone JD na Trump wanavyoongea kwa kujiamini bila kigugumizi kama Zele. Wakuu tutafute hela.
Matokeo yake Trump ndo kadhalilika, alitegemea mteremko kama viongozi wa shithole countriesHuyu alitakiwa awe kichekesho tu na sio Rais
Na Trump kafanya makusudi ili amdhalilishe