Diamond aibuka na kupinga wimbo wake kufungiwa, asema nchi ina wenyewe

Siyo kelele tu, kanisa/makanisa yangechomwa
 
Na usisahau kitimoto huwa inabaki nyingi sana wakati wa mfungo wa Ramadhani... Hata huko kwenye rost au kavu nako huwa inabaki nyingi sana kipindi hicho..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeshasema ni mkristo

Domo na zuchu waislamu. Misikiti ipo mingi tu tena kuna mmoja huwa anasema kaujenga angeenda huko kushutia video zake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unampangia atumie jengo gani ? Ulimtungia nyimbo au ulikuwa Director wa hio Scene ?

Tutakapoanza kupangiana cha kufanya na wapi tukifanye basi dunia hii itakuwa a very Boring Place..., Yaani Magereza ya Nje

Kwani kuna tatizo akishutia msikitini,
 
Kajamaa kana nyodo sana
Eti "tuendelee kuwakilisha taifa lao" kana kwamba anatufanyia hisani.

Aende msikitini kwao huko akayakate na mauno
 
Ubaya upi umeuona pale??
Tusimulie...
Amekosea
Kuwahadaa watumishi wa hilo Kanisa na pesa zake, maana pale panaonekana kutokuwa mjini kabisa.

Katumia njaa za watumishi πŸ˜‚ sababu Katoliki hatuingiagi na simu Kanisani.. yeye kwanini aact vile?
Alichokosea kingine pale hakuna ujumbe wowote positive..
 
Tatizo anajiona star kama nyimbo ya Mabantu...
 
harafu akiitwa kwenye kampeni diamond unaenda kutumbuiza Kama kawaida au hapana
 
Ila Mabantu huawaga wana mistari very unique...
Hahahaha...

Wamechana sana mule wamemaliza Kila kitu...
Unataka Rrrrr na hauna salio? Nyoo
Hainaga shobo mwanangu 🀣🀣🀣
Kiruuuuuu πŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…