Wameimba sana, wametukuza sana, wamesifu sana na kuunga mkono sana.Diamond kumbe inauma eeehhh!!
Hahaaa ukiona wenzio wananyolewa tia maji
Its ur turn men...
Leo hii times FM imekua bora kuliko clouds?
Hizo ni frustration tu!hukutegemea kama yatakua hvyo wewe pambana na hali yako!
Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.
Mchawi binadamu paka katumwa tu...
Shonza paka..mchawi unamjua sana!
I'm sory simchukii mondi ila nampa ushauri
cloud ni mdudu gani??? subir wasafi tv iwanyooshe na tunasomba wafanyakazi wote pale abakie jamaa mweusi kama lami yule, demu wake tushamchukuaDiamond kumbe inauma eeehhh!!
Hahaaa ukiona wenzio wananyolewa tia maji
Its ur turn men...
Leo hii times FM imekua bora kuliko clouds?
Hizo ni frustration tu!hukutegemea kama yatakua hvyo wewe pambana na hali yako!
Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.
Mchawi binadamu paka katumwa tu...
Shonza paka..mchawi unamjua sana!
I'm sory simchukii mondi ila nampa ushauri
Unataka kila alichofanya Nay na mond afanye au? Sijaona mantiki ya swali lako hpa, kila mtu ana namna yake ya ku handle emotions..wewe uliona wapi Nay ana jibizana na waziri?
umenena vyemaaaa, sema hao clouds wataomba pooDiamond ameshakua mkubwa kuliko hiyo Clouds yako
Naskia huyo Demu ni team Kiba,ana chuki na Diamond kma teamKiba wenzake tu
Ila WCB sometimes wanakera sana,yan tangu wiki jana kila kona Unaona post zinazowahusu wao tuuu huko instagram ndo hata kupata dondoo za sok through Matchdaytz hatuwezi maana post za WCB zimezima page zote...
Usikute wameshakulana hawa maana diamond naye asione sketi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bifu la kutosana wanalileta public
Sawacloud ni mdudu gani??? subir wasafi tv iwanyooshe na tunasomba wafanyakazi wote pale abakie jamaa mweusi kama lami yule, demu wake tushamchukua
Ua jeusi chiboko.
Maana hata kama mtu una backup sio kwa hasira hizi
Wanaomshangilia Diamond kumshambulia hivi waziri wala sio kwamba wanampenda bali wanajaribu kujua nini kitatokea? Binafsi mimi nampenda Diamond lakini hili la kumshambulia waziri as if ni hawara yake kwakweli sikubaliani nalo kabisa.....Diamond amekosa adabu kabisa pengine anamjibu Shonza kwakuwa ni mwanamke lakini kamwe kwenye hili hatoweza shinda maana anayofanya waziri na taasisi yalikuwa ni maagizo ya Rais sasa unapo mshambulia waziri kwenye mitandao maana yake unamshambulia Rais
Diamond anaweza kuwa na hoja lakini hii njia anayotumia haiwezi kumfikisha popote....maana kwenye hili hawa wanaomshangilia watakuja kumgeuka......Nyimbo zake zote hakuna aliyoonewa hata moja.....kwa hiyo kujifanya ana mdomo sana kunaweza mponza zaidi......
Nimeshangaa sana kaka diamond kujibu hii kitu.hapa nipo nasikiliza ule wimbo wake unaitwa "bora nikae kimya" huu utawala hakuna aliyesalama, ila ni suala la muda. Tusipende kujitoa kwenye mambo yanayoligusa taifa eti kisa unakula nao au unalelewa na wao
Kwani hao cloud wanasikika na kuonekana dunia nzima bwana ? Wasafi tv na redio inafunguliwa very soon,wasimbabaishe,mond yuko juu kuliko hiyo cloudAcha wampe kiburi chibu. Kumbe wanampa kaburi.
Jamaaa ushawishi wake unadrop deile.
Binafsi nahisi kama akiweka mambo sawa na clouds atazidi kupaa kuliko kuanza vita
Naitakia kila la kheri wasafi tvKwani hao cloud wanasikika na kuonekana dunia nzima bwana ? Wasafi tv na redio inafunguliwa very soon,wasimbabaishe,mond yuko juu kuliko hiyo cloud
sisi wengine huwa hatutaki kuyasema haya ...maana wenye team zao ...wameamua kujivisha vazi LA upofu wa kufikiri ....huwa wanasifu na kutetea mpka mambo ya kipuuzi """ teheee....hata hii comment pia wataipingaWanaomshangilia Diamond kumshambulia hivi waziri wala sio kwamba wanampenda bali wanajaribu kujua nini kitatokea? Binafsi mimi nampenda Diamond lakini hili la kumshambulia waziri as if ni hawara yake kwakweli sikubaliani nalo kabisa.....Diamond amekosa adabu kabisa pengine anamjibu Shonza kwakuwa ni mwanamke lakini kamwe kwenye hili hatoweza shinda maana anayofanya waziri na taasisi yalikuwa ni maagizo ya Rais sasa unapo mshambulia waziri kwenye mitandao maana yake unamshambulia Rais
Diamond anaweza kuwa na hoja lakini hii njia anayotumia haiwezi kumfikisha popote....maana kwenye hili hawa wanaomshangilia watakuja kumgeuka......Nyimbo zake zote hakuna aliyoonewa hata moja.....kwa hiyo kujifanya ana mdomo sana kunaweza mponza zaidi......
Yuma ya diamond kuna nguvu kubwa mno ,huijui tu. Ana watu wengi ambao shonza hana na kibaya zaidi shonza hana ajualo kwenye system, sio kila mtu unaweza mvamia tu.sisi wengine huwa hatutaki kuyasema haya ...maana wenye team zao ...wameamua kujivisha vazi LA upofu wa kufikiri ....huwa wanasifu na kutetea mpka mambo ya kipuuzi """ teheee....hata hii comment pia wataipinga