beautifulonyinye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 728
- 481
Mkuu kuna watu wamekufa wameoza kwa diamond wanaweza wakasema diamond mkali kuliko Chris brown, R Kelly n.k kweli kupenda kubayainawezekana diamond mzuri mkuu inategemea unaangalia category gani. so chameleone anatungiwa na kuimbiwa na serikali yake? kwa mziki mzuri kamilioni yupo juu