Diamond kaangushwa na mameneja wake sio Wanaharakati

Bado tupo kwa uyu kijana tu..hauna mambo mengine ya kufanya
 

Sasa meneja wake SALAMU kazuiliwa kwenda USA kwasababu ni muuza madawa ya kulevya,BANNED US.

Babu tale shule Fa Fa Fa Fa Fa Fa , Mama Dangote yupo busy na Kiben10.
 
Hivi Diamond Platnumz ana tuzo ngapi kulinganisha na huyo Burna Boy? Nadhani Diamond is way too far from Burna Boy when it comes to number of awards winning...pia alikuwa na mameneja hao hao unaowaponda
Kwa tuzo za Kitaifa na za Afrika Mashariki..ni kweli Dai is way too far compared to Burna Boy! lakini kwa zile za KIMATAIFA...Dai anasubiri sana kwa Burna Boy!
 
Mameneja hao hao ndio waliokuwa naye kipindi media zimemtupa na kumtenga na hakutokea hata mwanaharaka mmoja kumtetea,mameneja hao ndio walio mfanya ashinde tuzo nne za channel 0,mbili MTV Europe, Moja MTV MAMA na mameneja hao hao ndio walio mfanya leo hii awe ashapiga show zaidi ya 90% ya nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara.

Mameneja hao hao ndio waliomfanya awe hapo.
 
Meneja wake wa kimataifa ni Salaam SK ambaye amepigwa life Ban ya kuingia Marekani.
Meneja wake mwingine ndiyo huyo Babu Tale ambaye anaongea kwa ufasaha lugha ya Kiluguru na Kiswahili.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Babu tale ni empty box aisee. Sasa na mond kwanini awe na meneja mhalifu aliyezuiliwa kuingia marekani hyo tu siinakuwa Ina mchafulia CV.
 
Na kingine kilicho mpoteza focus diamond ni ma drama ya kipumbavu na wanawake zake na kuzaa hovyo, tangu aanze hapo it was like Ali drop. Diamond anahitaji meneja mwenye exposure na hivi ni fighter atafika
 
Umeandika vyema.

Album ya Burna Boy ya African Giant ni moja ya album huwa sichoki kuisikiliza. Humo ameimba siasa (Collateral Damage), Mapenzi (Low) na kutafuta maisha (Wimbo Kama Dangote) na zingine nyingi Sana nzuri


Pia kwenye album ya TWICE AS TALL vile vile pia.

Cha mwisho ambacho Umeongea na ni point kubwa Sana , wasanii wa TANZANIA kuiga miondoko ya wanaijeria kunawaharibia sana kimataifa.
 
Meneja wake wa kimataifa ni Salaam SK ambaye amepigwa life Ban ya kuingia Marekani.
Meneja wake mwingine ndiyo huyo Babu Tale ambaye anaongea kwa ufasaha lugha ya Kiluguru na Kiswahili.
Kwann alipigwa ban mkuu
Huyo sk?
 
Si mziki tu, hata Nollywood, actors na actresses wao wengine wane akiwa Ulaya na Marekani. Wengi wa Master’s za sanaa. Nillywood imeifunika kabisa Bollywood. Wazungu pia wanaangalia sinema za Nollywood.
 
Sasa na ww mbna hate inazidid sasa?
Hukuona bet walionyesha anapokaa ndani?
Ah watanzania hadi vitu vivid tunavifumbia macho?
Sasa mkuu mbna kama unakua kama mcheza kiduku kwenye ghala la mkaa

Sielewi ni nini shda mnamsema mama wa msanii
Burna kama burna kabahatika kuzaliwa katika familia iliokuwa njema sio kwamba yeye alichagua mimi namtaka huyu mama hapana..
Wasifu wa mama wa msanii usihusike hapa na nakataa kwamba ndio sababu ya kukosa tuzo kwa diamond
Kwa tunaofatilia mpira kuna wakina cr7 wametoka familia baba mlevi mama anaishi maisha ya kuunga unga lakini wana matuzo kuliko watu kama wakina pirlo waliozaliwa familia njema..
Nmezunguka saaana ila main point ni kumkebehi mzazi wa diamond si sahihi
Hakuna mtu anachagua mzazi we have to adapt to what we were given bwana mkubwa......


Watanzania sisi
Tunajudge mzazi wa msanii huyu kwa msanii yule kwenye kulinganisha nani apate tuzo smh
 

Wanaiga sana sasa ukifika wakati wakushindanishwa na wenye muziki wao, wanategemea huruma ya washabiki wao na kuanza kutoa maneno ya shutuma na lawama zisizo na msingi. Angalia hata muziki wa dansi ulivyokufa, hapo kabla bendi za zamani zilipiga mapigo ya kiasilia na kufanya vizuri angalia watu kama wakina Marjan Rajabu, Baraka Mwishehee na Bendi kama Les Wanyika, ila kizazi kilichofuata walipoleta ucongo dansi ikapoteza muelekeo kabisa.

Wasanii wetu wamekuwa kama kasuku, kuiga kila wanachosikia mwisho wa siku wanabaki hawana kitu wanachokijua kwa usahihi, kasuku angekuwa anatumia muda kujifunza lugha moja angeweza kuongea ila tatizo kila anachokisika anakitaka au ndio wasanii wetu mara hawa wanakopy Nigeria wengine kule amapiano South Africa yaani ni shida tupu muziki umerudi nyuma sana na ndio maana uzuri wa nyimbo zenyewe haudumu kabisa.
 
Kwali hili ndio nimeamini kweli upinzani ni utopolo...
 

Kweli huko aendapo anahitaji mameneja wenye upeo mkubwa zaidi ya hawa alionao! Kuna story hapo 👇🏼Kifupi mi kwamba:

1. Mondi hakufanya intavyu ya red kapet sababu waliona akifanya lile vazi litampa attention kubwa kwenye show yao wamarekani. Ni ajabu nominee hana intavyu ya red kapet! Angekuwa na meneja mwelewa angemshauri avae simple.

2. Hakupelekwa kukaa sehemu ya VIP kama nominee mwenzake Burna. Alikaa kajamba nani huku Burna akiwa VIP, pembeni ya DJ Khaled. Angekuwa na meneja mwenye upeo angeshughulikia hili kabla ya show.

Story.....

"Diamond was bounced from the red carpet"

kampalasun (dot) co (dot) ug

Jun 29, 2021 11:45 AM

By Ahmad Muto

Reports emerged on Monday, June 28 hours after the BET awards that singer Diamond Platnumz got bounced from the red carpet in Los Angeles, Carlifornia because of how he dressed. Social media in particular accused BET of being inconsiderate towards African artistes.
Then came former media personality turned socialite now based in the US, Kabs Haloha who was in attendance. He branded Diamond’s Masaai attire a ‘blunder’ and therefore the reason for his woes.
“His first blunder was dressing like he did so they ignored him. They assumed he was trying to crash the red carpet. He is a big star to dress like that. If it was a great style, he would be trending in the US but he is not. He is trending in East Africa because that is the understanding there. His entourage was way smarter than him. I love him and his music but the outfit was off,” said Kabs.
He also noted that as if to show Burnaboy was bigger than him, the Nigerian sat next to DJ Khaled in the VIP section while he sat in the regular section. Also, nobody bothered to interview him like the media normally does on the red carpet.
“I got in there, I had all access to the sections and there is a sitting arrangement. There is the VIP where you have the DJ Khaleds and then you have other sections. Diamond was in a different section, which I feel was unfair because Burnaboy was next to DJ Khaled,” he explained.
Kabs added: “I didn’t see his live interview on the red carpet. Being a nominee is a pass to have a live interview. But no TV station requested for his interview.”
Diamond lost the Best International Act award to Burnaboy.
 
Domo hajaangushwa na yoyote bali uwezo wake mdogo hana ubunifu zaidi ya kutegemea kurudia nyimbo za wenzie kwa kubembea kwenye msemo hakuna kipya duniani
Nyimbo zenyewe zimejaa matusi siku hizi
 
Hivi Diamond Platnumz ana tuzo ngapi kulinganisha na huyo Burna Boy? Nadhani Diamond is way too far from Burna Boy when it comes to number of awards winning...pia alikuwa na mameneja hao hao unaowaponda
Za kili
 
Alienda kupiga photo akasepa zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…