Life Ban?? but why?Meneja wake wa kimataifa ni Salaam SK ambaye amepigwa life Ban ya kuingia Marekani.
Meneja wake mwingine ndiyo huyo Babu Tale ambaye anaongea kwa ufasaha lugha ya Kiluguru na Kiswahili.
Diamond alipaswa aendele kugonga nyama ya zari Hadi leo .Hahahahah BET hatuitaji walinda mageti[emoji23] tunataka watu wenye akili timamu sasa unavaa kimasai umeambiwa kuna tuzo za utamaduni mle?[emoji23]
Angevaa smart sasa ameonekana kituko hamna hata mtu mwenye habari naye yani aibu kichizi! Imagine unaenda sehemu kama ile hamna hata mtu anayekushobokea hata msanii tu mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23] yupo na babutale tu wanapuyanga na kushangaa shangaa!
Zari brought class to that fool ila ushamba wake na uswahili wa ile familia ndio uliwafanya wakatengana [emoji23][emoji23][emoji23]! Ila kimsingi Zari alikuwa bonge la demu kwa Mondi regardless ya madhaifu yake!
Acha umbea !.[emoji23][emoji23][emoji23] producer wake mwingine ni S2kizzy ambaye anadaiwa kodi ya nyumba laki nne sijui..utulivu wa kupika mziki mzuri utatoka wapi?.
Either over stay,drugs,or terrorism.Salaam kwanini amepigwa hiyo ban?
Jaribu kufatilia youtube.!Diamond interviews nje anafanya king'eng'e au Kiswahili?
Mandezi wale walimpotezeaDiamond alipaswa aendele kugonga nyama ya zari Hadi leo .
Wale ndugu zake waswazi Ni nuksi samtaimu
Unaona hatuna representatives hasa kwenye International Medias hivyo inamlazimu mtu mpaka amtafute mshikaji wa mshikaji ili nyimbo isikike huko nje....na hapo kama ni kuhonga siyo kitotoYou must understand burna anasikika sana marekani kuliko diamond, burna boy also heard in France more than diamond.
Youtube sina bando mzeebaba, we nipe muhtasari tu utatosha.Jaribu kufatilia youtube.!
Ni tuzo iliyokuja kushindana na Emmy AwardsUnajua asili ya BET awards?ni mambo ya siasa baada ya kuona wazungu wanawabagua blacks katika mambo ya sanaa kama kutopiga nyimbo za blacks kwenye Tv na radio,so BET wanapinga udhalimu,daimond yupo upande wa wadhalimu ndio maana kaangukia pua na manguo yake kama gods must be crazy
Mziki mzuri ukoje.!Na watoe nyimbo nzuri sio utopolo wanaoimba kwa sasa, sio kamata wala ndombolo sijui blah blah gani yenye ubora wa kuchukua tuzo yoyote hata kama ni ya mchangani. Wasanii wetu kama wameishiwa mashairi wakubali kutungiwa nyimbo sio mtu unaimba kamata kamata wimbo mzima.
Tuzo = Muziki mzuri + Investment kubwa.
Usijali ukipata utafatilia.Youtube sina bando mzeebaba, we nipe muhtasari tu utatosha.
Ivi ni tunzo au tuzo ?Ni tunzo iliyokuja kushindana na Emmy Awards
Mi nilishangaa japo na Ukapuku wangu nani alimshauri Mond avae lile Vazi it was one of the worst decison ever sawa na ile yakutengana na Zari, amekosa confidence maskini akawa anashangaa shangaa na Meneja wake badala ya kumwongezea Confidence akamwacha tu ana hang.........nadhani kuna wizara inahusika hapa juu ya Ushauri wa lile vaziHahahahah BET hatuitaji walinda magetiπ tunataka watu wenye akili timamu sasa unavaa kimasai umeambiwa kuna tuzo za utamaduni mle?π
Angevaa smart sasa ameonekana kituko hamna hata mtu mwenye habari naye yani aibu kichizi! Imagine unaenda sehemu kama ile hamna hata mtu anayekushobokea hata msanii tu mwenzio πππ yupo na babutale tu wanapuyanga na kushangaa shangaa!
Zari brought class to that fool ila ushamba wake na uswahili wa ile familia ndio uliwafanya wakatengana πππ! Ila kimsingi Zari alikuwa bonge la demu kwa Mondi regardless ya madhaifu yake!
We kama huwezi kutoa muhtasari kausha tu.Usijali ukipata utafatilia.
Nisaidie ndugu yangu mimi ninaongea Kizaramo tu kwa ufasahaIvi ni tunzo au tuzo ?
Nyota yake iling'aa Sana wakati Yuko na zari.Mandezi wale walimpotezea