HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Mnamcheka mondi na wakati nyie wa tz kinge kwenu ni anasa bladfucken
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1989 hadi 2022 ni 31????
Hahahaha aisee hebu tafuteni pesa mpeleke watoto shule za maana wasiwe wajinga kama nyie au kama huyo anayejiita bitch.sasa asome subtitle wakati anasikika anachoongea,, uoni kama hyo subtitles ndo imekosewa,,
Pursuit of fame, comes with insanityBitch ni neno slang linalotumika kumuelezea mwanamke, kwa mwanaume angetumia walau nigga
Afu kinachokuja kuleta shida ni pale unapomuona kwenye interview akitamba kuwa hakuna msanii bongo anayemzidi unyamwezi
Aisee [emoji23][emoji23]Kiinglish hicho.. This bitch is 31st years old.
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]Labda amemaanisha Bichi kidimbwi..[emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bisexual huyo. Kingereza kilikuja kwenye meli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bitch ni neno slang linalotumika kumuelezea mwanamke, kwa mwanaume angetumia walau nigga
Afu kinachokuja kuleta shida ni pale unapomuona kwenye interview akitamba kuwa hakuna msanii bongo anayemzidi unyamwezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akamatwe haraka na apelekwe kwa Ras Layoni akapate diploma ya Kizungu cha mazungumzo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kafukuza wanawake wenye akili , wasomi na waliokuwa wanamfundisha kiingereza na exposure, muonekano na kujibihave kimataifa akina madam Sepetu, Zari na tanasha anaende kuchukua waimba taarabu huko mchambawima unatarajia atamfundisha kizungu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aibu aiseeee
Kipindi cha Netflix sadala asingekubali maana hawezi joto la mahojiano bora angemkodi T.I.D au chid benz maana Zari anafaidika sana humo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]You are the one acting like a bitch, not me bro. Now, get off my dick!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Diamond kingereza alifundishwa chumbani na sio darasani so kubali kukosea kupo na hajui.kuna mtu kweli unajua shule ipo hata akitumia neno tunajua lina maana nyingi sasa huyu alisomea wapi? Kingereza alifundishwa na wema, zari, na tanasha so hicho kinatosha kabisa kuongea bila makosa?
Unajua mtu msomi ambae hajiamini kwenye lugha anatumia maneno simple ili aeleweke. Amesema 'am a player" ilikuwa inatosha mambo ya kuongeza maneno mengine wajue kaiva hayana maana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzungu na mbongo wakiongea kiingereza huwa wanaelewana sana. Tatizo linakuja mbongo ukiongea kiingereza mbele ya mbongo mwenzako, lazima utaogopa kwasababu atachukua madhaifu tu ili akukosoe, tofauti na mzungu ambaye anaangalia main points ili muweze kuelewana. Shida nyingine ni kwamba mbongo anakusahihisha kwa lugha ileile ya kiswahili[emoji16]. Mzungu akiongea broken swahili anaonekana anajitahidi sana kuongea kiswahili na tunampongeza. Watanzania sijui nani katuroga.
Bisexual huyo. Kingereza kilikuja kwenye meli.
Kiinglish hicho.. This bitch is 31st years old.