Diamond Platnumz ashangaa mwili wake kuendelea kupungua

Watu wa nyuma ya pazia wazee wa free... vijiwe vya kahawa wanasema halisi yupo kuzimu, imebaki kopi tu au box kivuli, halisi walishamchukua.
Sale your soul die young.
 

Attachments

  • Screenshot_20221124_083357.jpg
    52.3 KB · Views: 18
Mali usizofuraha nazo za nini. Mali ya tajiri ufaidiwa na masikini. Chek house girl na boy wa matajiri wanavyonona huku matajiri wakiisha afya kwa stress za kukosea masharti
 

Every thing has an end
 
Nilidhani nimeona pekeyangu. Kumbe hata yeye anajijua.
 
Akapime ngoma au cancer ya kongosho,,
Hata steve job alishangaa anakonda tu, kumbe cancer inamla pole pole
Ila cancer ugonjwa mbaya Sana maana unakukula polepole mpk uje uigundue unakuta ipo stage 3 au 4 ambayo kupona ni majaaliwa ya mwenyezi Mungu. Chadwick wa black panther nae alianza hivihivi kukonda kumbe shida cancer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…