Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Mziki wa Tanzania ni Upi ?
Kwahio kabla Diamond hajazaliwa mziki wa Tanzania ulikuwa Haupo ?
Anyway Kudos kwa vijana wa Tanzania nadhani wanajitahidi sana kwenye hii Tasnia na ninaweza nikasema huenda katika industry zote zinazowajibika na hii ipo pamoja na ndugu zetu wakulima (peasants) ambao tunawanyonya kila kukicha
Kwahio kabla Diamond hajazaliwa mziki wa Tanzania ulikuwa Haupo ?
Anyway Kudos kwa vijana wa Tanzania nadhani wanajitahidi sana kwenye hii Tasnia na ninaweza nikasema huenda katika industry zote zinazowajibika na hii ipo pamoja na ndugu zetu wakulima (peasants) ambao tunawanyonya kila kukicha