masterplanner
JF-Expert Member
- Oct 23, 2015
- 268
- 342
Hili si la kubishanaTafiti hiyo ilifanywa na nani kuja na takwimu hizo? Huyo atayekuwaambia hivyo labda awe mwenyekiti wa mashoga. Enzi hizi za utandawazi sio za kuogopeana vitu vinaonekana.
Kumbe mnafanya siasa kwenye mafundisho ya dini?Zile ni siasa sio mafundisho ya dini ,kweny dini pametajwa mayahudi na manaswar ,nyie wakristo mnafall kweny kundi la manaswar kwa vil mmemfanya mtume Issah kuwa Mungu.
Sasa hizi chuki za waislamu magaid na wanafuga majini mnatoa wapi?
Elewa swali usiwe much know....Nimemaanisha hao viongozi wanaogombana na TEC mara sijui mikataba ni mambo ya kisiasa.Kumbe mnafanya siasa kwenye mafundisho ya dini?
Wa kwanza juma kaparatu,aboubakar, na wengine wengi tu........haya wewe taja watano pia ? Irani........saudia,PakistanHii ndo chuki yenyewe inayo semwa?
Kwanza tuambie ni nchi gani yenye waisilam wengi uliyo wahi kuishi ili kudhitisha uliyo yasema?
Kuhusu Bhakresa unaweza kunitajia angalau waisilam 5 walio ajiliwa pale IPP inayo milikiwa na wakristo wenzio ambao ni familia ya mengi?
Mkuu soma Quran 8:12Mara nyingi dini ya Ukristo inatangazwa kama dini ya amani na upendo na wafuasi/waamini wake wamekuwa wakitambuliwa hivyo.
Ukiondoa kwamba dini ya Uislam ikitambuliwa kama dini isiyo na amani na upendo na wafuasi wake wakitambuliwa hivyo na sehemu kubwa ya dunia.
Lakini kuna kitu nazidi kukigundua miongoni mwa wafuasi wa dini ya Ukristo nayo ni chuki ya chini kwa chini dhidi ya Uislam.
Ni kwa nini wakristo wanachuki ya chini kwa chini na Uislam tofauti na jinsi wanavyo jitambulisha ?
Je, ni kitu gani kinasababisha chuki hiyo ?
Hivi mkishachukiana hua mnamfurahisha mungu yupi?Mara nyingi dini ya Ukristo inatangazwa kama dini ya amani na upendo na wafuasi/waamini wake wamekuwa wakitambuliwa hivyo.
Ukiondoa kwamba dini ya Uislam ikitambuliwa kama dini isiyo na amani na upendo na wafuasi wake wakitambuliwa hivyo na sehemu kubwa ya dunia.
Lakini kuna kitu nazidi kukigundua miongoni mwa wafuasi wa dini ya Ukristo nayo ni chuki ya chini kwa chini dhidi ya Uislam.
Ni kwa nini wakristo wanachuki ya chini kwa chini na Uislam tofauti na jinsi wanavyo jitambulisha ?
Je, ni kitu gani kinasababisha chuki hiyo ?
Swali zuri sana mkuuHivi mkishachukiana hua mnamfurahisha mungu yupi?
Mkuu hii mada chonganishi ingawaje sijui wewe binafsi upo upande gani? Kuzungumzia swala la dini hapo unagusa Imani za watu nadhani ni busara zaidi ukijikita kujitathimini wewe na Iman yako!Mara nyingi dini ya Ukristo inatangazwa kama dini ya amani na upendo na wafuasi/waamini wake wamekuwa wakitambuliwa hivyo.
Ukiondoa kwamba dini ya Uislam ikitambuliwa kama dini isiyo na amani na upendo na wafuasi wake wakitambuliwa hivyo na sehemu kubwa ya dunia.
Lakini kuna kitu nazidi kukigundua miongoni mwa wafuasi wa dini ya Ukristo nayo ni chuki ya chini kwa chini dhidi ya Uislam.
Ni kwa nini wakristo wanachuki ya chini kwa chini na Uislam tofauti na jinsi wanavyo jitambulisha ?
Je, ni kitu gani kinasababisha chuki hiyo ?
TEC na mihadhara ya kiislamu wapi na wapiElewa swali usiwe much know....Nimemaanisha hao viongozi wanaogombana na TEC mara sijui mikataba ni mambo ya kisiasa.
Inasemaje sina Quran nisaidieMkuu soma Quran 8:12
Na Quran 9:30
Kafiri Hana undugu na muislam.Uislamu ni Dini ya Amani, ila hii amani ni baina ya Muislamu na Muislamu.
Inahusu uzair na masihi wanavyo nasibishwa kwa mwenyezimunguInasemaje sina Quran nisaidie
Katafute mkuu usomeInasemaje sina Quran nisaidie
🤣🤣🤣😂 Mungu yupi huyo???Kafiri Hana undugu na muislam.
Mwenyezimungu kashasema.
(9:24)
Unavijua vita vya msalaba!?Mnajua kujistukia sana daah. Hakuna mkristo aliyewahi kuua mtu kisa sio mfuasi wa dini yake.
Shule za umma za kikiristu!?..maana yake nini!?..shule binafsi za kikiristu ikiwemo umoja kule igunga,tulilazimishwa kwenda kanisani kufanya ibada 1990s,kuna shule za waislam na za kiislam,fezza no ya waislam,hapo upo free,ubungo islamic no ya kiislam,hapo utaishi kiislam🔹Shule za Umma za Kikristu Kamwe hawalazimishi Waislam kuvaa kama wakristu lakini shule za Umma za kiislam wanaealazimisha watoto wa Kikristu kuvaa kama Waislam
🔹 Wakati wa mfungo wa Ramadha wakristu kwa upendo huwaheshimu Waislam na hata wanaweza kuvaa kanzu ili kuwaenzi lakini kwa waislamu hilo halipo
🔹 Wakristu na mafundisho Yao huamini binaadamu wote ni ndugu lakini mafundisho ya kiislam yanatambua ndugu wa muislam ni muislam tuu
🔹Mkristu akikutana na muislam ama atamsalumia kwa SALAMU ya kijamii, au atamheshimu kwa kumsalimia kwa Salamu ambayo Waislam huitumia lakini muislam Kamwe hilo jambo hawezi kulifanya yeye atalazimisha kukudalimia kama anamsalimia na muislam mwenzake
🔹Wakristu ni wavumilivu na Wana upendo wa kula nyama inayochinjwa kwa Dua za kiarabu lakini naamini jambo kama hilo haliwrzekani kwa muislam