Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Ndio maana wanakuchapia mkeAtheist ni mashoga nyuma ya pazia hapa ndio wanapata mwavuli wa kujificha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana wanakuchapia mkeAtheist ni mashoga nyuma ya pazia hapa ndio wanapata mwavuli wa kujificha
Jibu ambalo ni standard ni kuwaKudai hakuna Mungu ni lack of belief?
Katika miaka 13 aliyoishi Muhammed pale Saudia ni waarabu 150 tu ambao aliweza kuwashawishi kubadili dini.Kwahiyo waislamu hawakuwa wakiishi na wasio waislamu waliwalazimisha kwa upanga wawe waislamu?
Ni KweliDini ni ya watu wasiojitambua , wanaojitambua hawahitaji vitisho na ahadi za kidini kufanya mambo mema( utu).
Ukiona mtu anafanya mambo mema kisa ahadi za Peponi na vitisho vya jehanam jua huyo hajitambui.
Ukitoa tu hivyo vitisho na ahadi huyo mtu atakua zaidi ya mnyama .
Atheists ni watu wanaojitambua kiakili na kiutu , Atheists ndio asili ya kila binadamu .
Kwahiyo atheists kusema hakuna Mungu ni kwa sababu tu hakuna uthibitisho na si kwamba atheists wanadai hakuna Mungu kwa sababu wana uhakika juu ya hilo? Kwa sababu Agnostic pia wanasema hakuna uthibitisho wa kuwepo Mungu ila wao hawadai kuwa hakuna Mungu kwa sababu hakuna njia ya kujua kuwa huyo Mungu hayupo kweli tofauti na atheists ambao wao husema kwa kujiamini kwamba huyo Mungu hayupo.Jibu ambalo ni standard ni kuwa
Mtu yeyote anatengeneza madai au assertion automatically anakuwa na mzigo wa kuthibitisha (burden of proof)
Burden of proof ipo kwa yule aliyekuja na madai ambayo yanapingana na default position.
Ipo hivi. Kama hakuna uthibitisho wa jambo lolote kuwepo basi default position hapo inakuwa "hakipo"
Sasa kama kuna mtu anakuja na madai kusema kuwa kitu hicho kipo then mzigo wa kuthibitisha unakuwa upo juu yake.
Kwa mfano hakuna uthibitisho wa kuonesha kuwa kwenye flyover ya Mfugale kuna Tembo mkubwa asiyeonekana.
Kwa hoja hii default position ni kwamba hakuna Tembo wa dizaini hiyo kwenye Flyover ya Mfugale na yeyote anayesema Tembo huyo yupo basi ni jukumu lake kuthibitisha huyo Tembo yupo.
The same kwa vitu ambavyo vipo.
Tunaweza kuona nyota, mwezi na jua angani na kutupatia uthibitisho wa default position kuwa vitu hivyo vipo.
Mtu akija na madai kusema kuwa hivyo vitu havipo lazima awe na jukumu la kuthibitisha kuonesha default position haikuwa sahihi.
Ishu inapokuja ni pale ambapo waumini mnapotaka kutushawishi kuwa Mungu ni kama mwezi kuwa mtu yeyote anaweza akathibitisha wakati kuhalisia ni Tembo asiyeonekana kwenye Flyover ya Mfugale.
Nimeuliza waislamu hawakuwa wakiishi na wasio waislamu?Katika miaka 13 aliyoishi Muhammed pale Saudia ni waarabu 150 tu ambao aliweza kuwashawishi kubadili dini.
Kwa hiyo ile sera ya dini ya haki ilianzia hapo kufeli.
Na ndio hapo ilipoanzia Jihad kama plan B baada ya plan A kushindwa.
Hakuna cha ukweli, kuna watu kibao huogopa kufanya uhalifu kwa sababu ya kwenda jela na si kuogopa adhabu za dini. Watu wanaogopa kutembea na wanafunzi kwa sababu ya kwenda jela miaka 30 na si kuogopa kufanya zinaa kwamba atachomwa moto.Ni Kweli
Hilo suala halipo😅😅unatumia nguvu ,baadhi ya Hadith za kutunga maana Qur an hamuwezi kutunga...Kama watu wangejifunza kwa lugha zao bila ya source language yaani kiaarabu basi mngebadili maana ya Qur an.Nina list ya masheikh ambao ni mashoga utapo hitaji muda wowote niambie nikupatie uwaone.
Lakini kabla ya kufika huko kwanza ebu nipe tafsiri ya hii hadithi kwenye sehemu ambayo imezungushiwa duara lekundu
View attachment 2889158
Kwasababu inasema mtume alikuwa akibusu uume wa vijana wadogo Hassan na Hussen
Je hiyo sio homosexual?
Tuachane na hayo ambayo sipendi kujadili kwasababu ya kimaadili ila mnapoamua kutumia kama silaha ya kutuchafua sometimes inabidi tu respond ili kuweka nidhamu sawa.
************
Unapinga kuwa dini hazijaenea kwa vita?
Islam spread by sword.
Vita haikuhusisha kushambuliwa bali ilikuwa ni kulazimisha watu wasilimu kwa kutumia mabavu.
Inasambazwa na manabii feki. Watu wamewachokaNamna ambavyo Atheism inasambaa ulimwenguni kwa sasa kadiri miaka inavyo songa katika njia ya amani inanipa faraja na kusema hii ndio njia ambayo dini ilipaswa kuitumia.
Huwezi kuta Atheists wanatumia nguvu kubwa kama vita, kuchinja watu, kulipua watu ili wasiamini kuwa kuna Mungu lakini haya matendo yasiyo ya kistaarabu yamefanywa sana na dini mbalimbali ili Mungu wao na mafundisho yao yaaaminiwe na kukubalika vizazi na vizazi.
Mafundisho ya vitisho vingi wamejaa katika usambazaji wa dini tofauti na njia ya amani haya matendo huwezi kuta Atheists wanafanya kulazimishwa watu .
Kuwa atheist imekuwa njia rahisi sana na inayo kubalika na kukua kwa kasi katika maeneo mbalimbali kwa sababu kinacho hitaji ni kuwa huru kufungua uwezo wako wa kiakili, elimu na kuwa huru kuhoji basi ni rahisi kuwa atheist hii ni tofauti na dini.
Dini zingetumia njia ya amani sidhani kama ingekuwa rahisi wao kujipatia wafuasi hawa wengi walio nao
⁉️Kwahiyo atheist wao nao wana utaratibu wao namba ya kuishi na kuabudu? Je, huwa wanakutana wapi?
Atheist ni mashoga nyuma ya pazia hapa ndio wanapata mwavuli wa kujificha
Hilo ni lakoo.Agnostic nao akili zao ni kubwa au nao ndogo?
Atheists kusema Mungu hayupo hiyo ni default positionKwahiyo atheists kusema hakuna Mungu ni kwa sababu tu hakuna uthibitisho na si kwamba atheists wanadai hakuna Mungu kwa sababu wana uhakika juu ya hilo? Kwa sababu Agnostic pia wanasema hakuna uthibitisho wa kuwepo Mungu ila wao hawadai kuwa hakuna Mungu kwa sababu hakuna njia ya kujua kuwa huyo Mungu hayupo kweli tofauti na atheists ambao wao husema kwa kujiamini kwamba huyo Mungu hayupo.
Mwaka 1839 jamii ya wayahudi wa Mashhad walipewa option kati ya kusilimu au kufaNimeuliza waislamu hawakuwa wakiishi na wasio waislamu?
Tafuta hadithi ya Sunan Abi Dawud 5224 iliyokuwa narrated na Usayd ibn HudayrHilo suala halipo😅😅unatumia nguvu ,baadhi ya Hadith za kutunga maana Qur an hamuwezi kutunga...Kama watu wangejifunza kwa lugha zao bila ya source language yaani kiaarabu basi mngebadili maana ya Qur an.
Suala hilo halipo hata usemeje kuwa na sio kulazimisha...😂😂😂Tafuta hadithi ya Sunan Abi Dawud 5224 iliyokuwa narrated na Usayd ibn Hudayr
Humo ukisoma utaona Muhammad alikuwa na boyfriend
Zipo hadithi nyingi sana ambazo zinazungumzia homosexual scandal ya mtume wenu.
Majibu ya kusema kwamba ni za kutunga hatuwezi kuyachukulia kama ni hoja defensively zenye mashiko hususani tukijua wazi kuwa haupo tayari kukubali skendo chafu yeyote inayohusu dini yako.
Atheists wanaelezea humu kwanini hakuna Mungu sijui kama unafuatilia?Atheists kusema Mungu hayupo hiyo ni default position