Diva 'divatheebawse' amekimbia kwa mume wake usiku huu na ameamua kuwaaga fans wake. Wakubwa wenzangu huyu tumshauri au tumwache?

Wewe dada nitakugawa sasa🤣
 
huyu si ndio mshauri wa mahaba sijui hivi vitoto vinajua ndoa ni kuliwa mbususu tu
unaondoka alafu unaandika mitandaoni vitoto vijinga kabisa kesho utasikia kimekua mtetezi wa haki za wanawake ,nyie vizazi vya mitandao ya kijamii itachukua karne nzima kujua mmearibiwa
 
Hahahaha huo ni uongoooo, huyo mganga anaonekana kabisa sio mpigaji, shangazi akazane kunywa dawa za chango mambo yatatimia kwa uwezo wa aliye juu.

Shangazi Wema nae alidai alifokewa na kibonge wake mimba ikatoka [emoji38][emoji119]
Siku hizei we bidada umechachuka si mchezo🤣
 
cocastic wewe binti we, hujambo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…