Tunakoseajee? Juhudi, akili,na uwezo ndo vilivyo mfanya Vanessa awe pale leo, hukuwahi sikiliza intavoo jinsi alivyo kutana na Mr Akinoshoo?Mi naona ni bahati tu ya Vanessa.. mana tukisema juhudi/akili binafsi tunakosea
Usitutishe🤣🤣🤣Si umeripoti ya Diva.. Nyie wote kambi moja lugha moja.
Sio ushindani ila kwa tahadhari Dunia bado movie zake zinaendelea.
Bora akubali kuliko kuweka mambo hadharani bure bureKila mtu kati ya Diva na mganga wafanye interview, atawapa Mil 3.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haswaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora akubali kuliko kuweka mambo hadharani bure bure
Wewe dada nitakugawa sasa🤣Mimi namwelewa diva Sana🙏sikubaliani na tabia zake anazopotray mitandaoni,manake sijawahi muona live.yuko sahihi,alikuwa anaishi kwenye a perfect world yake, 🙏 alikosea akidhani huo ulimwengu anaweza kuuumba akiwa tized,very big mistake.kwamba udate na kuolewa na mwanaume handsome (kwa standard zetu za kibongo bongo)afu um-recreate kuwa a man of your dreams 🤣haipo hiyo Tanzania,alifanikiwa to Vanessa,veemoney🙏na siyo hapa ni huko ulimwengu wa kwanza🙏
Eti alimpiga shangazi mpaka akalazwa na mimba ikatoka etiHuyo mganga nae ameshindwa kumpa mimba huyo shangazi hadi leo!
Shekhe ni mounga pepo, kuna siku mapepo yanakuja mengi yanamflotishaKamkubari shekhe anaumwa degedege then anaanza kulalamika
🤒
Hahahaha huo ni uongoooo, huyo mganga anaonekana kabisa sio mpigaji, shangazi akazane kunywa dawa za chango mambo yatatimia kwa uwezo wa aliye juu.Eti alimpiga shangazi mpaka akalazwa na mimba ikatoka eti
Siku hizei we bidada umechachuka si mchezo🤣Hahahaha huo ni uongoooo, huyo mganga anaonekana kabisa sio mpigaji, shangazi akazane kunywa dawa za chango mambo yatatimia kwa uwezo wa aliye juu.
Shangazi Wema nae alidai alifokewa na kibonge wake mimba ikatoka [emoji38][emoji119]
Kuachwa kusikie Tu, afu anayeacha huwa hana maneno mengi, muachwaji sasa🤣🤣🤣Bora akubali kuliko kuweka mambo hadharani bure bure
Tumesubiri video hadi tumechoka, magazeti tu yamekua mengi,Kuachwa kusikie Tu, afu anayeacha huwa hana maneno mengi, muachwaji sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmmmh! Cha upole mimi au unamsema mwengine [emoji23][emoji23]Siku hizei we bidada umechachuka si mchezo[emoji1787]
Siku hizi umemeza betri asee😂😂Mmmmh! Cha upole mimi au unamsema mwengine [emoji23][emoji23]
Wifi yako kwa KarimuNdio nani huyo huko Daslam?
Blaza usinigawe ,si ni ukweli lakin🤣tunaishi ndotoniWewe dada nitakugawa sasa🤣
Basi rudi nyumbani nimeahirisha kukugawa mdogo angu😂Blaza usinigawe ,si ni ukweli lakin🤣tunaishi ndotoni
Blaza usinigawe ,si ni ukweli lakin🤣tunaishi ndotoni
cocastic wewe binti we, hujambo!Huyu mbibi sasa alikataa nn na kumshambulia Faiza, mbna aliyo semaga Faiza ndo yeye leo kayarudia?? Au anatafuta kiki mjiniii? Maana slays, divas na chawas bila kiki hawana maisha town, lol.
Nweiii nasubiri afunguke zaidi, na sie tuongezee neno, tusije ambiwa sie Wanga bureee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]