And anashangaa why wanaume hawakai kwake? Wanakuja wanalamba wanaondoka? AttitudeWakuu,
Kwa hiyo wanaume wa Daslam huyu anayejiita Diva The Bawse ndo mmeshindwa kabisa kumtuliza na kumuweka ndani?
Na hapa unakuta kuna mwanaume anampa huyu dada kila kitu kuanzia mafuta ya gari, kodi ya nyumba mpaka hela ya kusukia lakini kuinama kufua anaona ni adhabu.
Wanaume wa Dar mjitafakari sana!
View attachment 3170265
Huyu ana stress sana basi tu. Ana tatizo la akili sema ni vile nchi yetu hatuwezi kutambua matatizo ya akili. yule mganga alimnyoosha. Si huyu juzi juzi alikuwa kajipiga tatoo ya vunjabei?Wakuu,
Kwa hiyo wanaume wa Daslam huyu anayejiita Diva The Bawse ndo mmeshindwa kabisa kumtuliza na kumuweka ndani?
Na hapa unakuta kuna mwanaume anampa huyu dada kila kitu kuanzia mafuta ya gari, kodi ya nyumba mpaka hela ya kusukia lakini kuinama kufua anaona ni adhabu.
Wanaume wa Dar mjitafakari sana!
View attachment 3170265
Zitto alikuwa anampenda sema demu akamwacha kisa brazamen prezzo kumbe prezzo ni chapa ilale.Demu wa zito huyu mawengezi sana
Bro has no chillBrand gani zaidi ya hayo matobo anayomiliki! Bure kabisa.
Kusikiliza asiyejitambua kama huyu ni kupoteza muda. Huwa najiuliza, nani looser tukiamua ubaya ubaya kati ya mwanaume na mwanamke. Nikupe hela na mahitaji yote, upendo na muda wangu halafu bado hujigusi kwa lolote, ana tofauti gani na robort. Kama ni unyumba unauzwa mtaani hata kwa 5,000 tu. Mfano,, yanini nitumie mil 50, kugharamia mavitu vitu juu yako kwa kitu (unyumba) ambacho naweza kukipata kwa 10k.Wakuu,
Kwa hiyo wanaume wa Daslam huyu anayejiita Diva The Bawse ndo mmeshindwa kabisa kumtuliza na kumuweka ndani?
Na hapa unakuta kuna mwanaume anampa huyu dada kila kitu kuanzia mafuta ya gari, kodi ya nyumba mpaka hela ya kusukia lakini kuinama kufua anaona ni adhabu.
Wanaume wa Dar mjitafakari sana!
View attachment 3170265
Mimi mke wangu labda akatae show hapo itakuwa issue. Kama hataki kufua mbona rahisi tuu, natafuta beki tatu mwenye tako, nampa mshahara wa kuridhisha anafua nguo. Shida iko wàpi?kumfulia mwanaume au mume? kama ameolewa kufanya hayo sio utumwa na anaweza afanye au asifanye ni maamuzi yake
Wanaume mnajipendekeza wenyewe kuamua kufuva mtoto wa mtu nadani kwa kisingizio cha kuoa.Kusikiliza asiyejitambua kama huyu ni kupoteza muda. Huwa najiuliza, nani looser tukiamua ubaya ubaya kati ya mwanaume na mwanamke. Nikupe hela na mahitaji yote, upendo na muda wangu halafu bado hujigusi kwa lolote, ana tofauti gani na robort. Kama ni unyumba unauzwa mtaani hata kwa 5,000 tu. Mfano,, yanini nitumie mil 50, kugharamia mavitu vitu juu yako kwa kitu (unyumba) ambacho naweza kukipata kwa 10k.
Diva ni kataa ndoa, ndiyo maana kasema hivyo.Sawa, aolewe na hiyo ‘brand’ kubwa yake.