Diva: Mimi sina muda wa kukaa chini kumfulia mwanaume. Brand yangu kubwa sana.

Diva: Mimi sina muda wa kukaa chini kumfulia mwanaume. Brand yangu kubwa sana.

Mimi mke wangu labda akatae show hapo itakuwa issue. Kama hataki kufua mbona rahisi tuu, natafuta beki tatu mwenye tako, nampa mshahara wa kuridhisha anafua nguo. Shida iko wàpi?

Mimi mke wangu labda akatae show hapo itakuwa issue. Kama hataki kufua mbona rahisi tuu, natafuta beki tatu mwenye tako, nampa mshahara wa kuridhisha anafua nguo. Shida iko wàpi?
kufua kumpikia mume kumuekea maji ya kuoga sisi baadhi ya wanawake wa sasa tunaona ni utumwa flani hivi ukichukulia kama utumwa utaona ugum kufanya but as long as you love your hubby unakua unafanya kwa mapenzi tu tena unafanya na unajisikia amani
 
Na hapa unakuta kuna mwanaume anampa huyu dada kila kitu kuanzia mafuta ya gari, kodi ya nyumba mpaka hela ya kusukia lakini kuinama kufua anaona ni adhabu.
Ila mavuzi anaweza kukaa chini na kuanza kumnyoa na akimaliza anaanza kulitafuna libilinganyi lake au sio?
 
kufua kumpikia mume kumuekea maji ya kuoga sisi baadhi ya wanawake wa sasa tunaona ni utumwa flani hivi ukichukulia kama utumwa utaona ugum kufanya but as long as you love your hubby unakua unafanya kwa mapenzi tu tena unafanya na unajisikia amani
Ila kumnyoa mavuzi huoni kazi kabisa sababu unataka kupigwa miti si ndio?
 
Mmh! Ndio aseme redioni Mkuu ambapo kiukweli kabisa wanaosikilizaga hiyo redio asilimia kubwa ni wale kina pangu pakavu.

Huoni kama anamezesha watu kitu kisichofaa?
sio shida zake!
 
Wakuu,

Kwa hiyo wanaume wa Daslam huyu anayejiita Diva The Bawse ndo mmeshindwa kabisa kumtuliza na kumuweka ndani?

Na hapa unakuta kuna mwanaume anampa huyu dada kila kitu kuanzia mafuta ya gari, kodi ya nyumba mpaka hela ya kusukia lakini kuinama kufua anaona ni adhabu.

Wanaume wa Dar mjitafakari sana!

View attachment 3170265
Brand yake ni kubwa sana walah😂😂😂

Hata akifa hatozikwa ardhini kutokana na ukubwa wa brand yake.

Hata anapoenda maliwatoni hachutami wala kukaa kwenye choo kwa sababu brand yake inakataana na ukawaida.

Huyo ni mwanamke ambaye anapambana dhidi ya yeye mwenyewe. Is sad watu wanamshobokea bila kujua afya ya akili yake
 
kufua kumpikia mume kumuekea maji ya kuoga sisi baadhi ya wanawake wa sasa tunaona ni utumwa flani hivi ukichukulia kama utumwa utaona ugum kufanya but as long as you love your hubby unakua unafanya kwa mapenzi tu tena unafanya na unajisikia amani
Huu ni ukweli, hata mimi mke wangu akinifulia nguo napenda sana kuliko nimkute hg. Mimi mke wangu ñguo za watu wote hadi zake alikuwa anampa hg, nguo zangu tuu ndo hg alikuwa hagusi. Kuna wanawake mmebarikiwa sana na mioyoni mwetu tumejenga masanamu yenu.
 
Huu ni ukweli, hata mimi mke wangu akinifulia nguo napenda sana kuliko nimkute hg. Mimi mke wangu ñguo za watu wote hadi zake alikuwa anampa hg, nguo zangu tuu ndo hg alikuwa hagusi. Kuna wanawake mmebarikiwa sana na mioyoni mwetu tumejenga masanamu yenu.
umenifurahisha mno et mmejenga sanamu, ni kweli hata ningekua mm ninaishi na housegirl asingegusa msosi wa baba chanja wala nguo zake
 
Back
Top Bottom