Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Status
Not open for further replies.
Mbona mnamsahau mwarabu mkurugenzi wa pccb Salum Hamduni yule nae ni jembe kweli kweli, Sabaya anamjua alitaka kuleta janja janja Kilimanjaro akamtoa knockout!
 
Kwa Susan hata Mimi natamani hivyo aisee
 
Diwani Athumani hafai kuwa IGP
 
Fungua hii code mkuu
 
Hatimae kanasa lazma apelekwe ubalozini kumpa IGP itakuwa kosa jingine kubwa mno kwa awamu hii.

Hili kosa la kuleta askari polisi idarani naomba ikawe mwisho maana wana lakujifunza kwa huyu ndugu Athumani.
Hata yeye Diwani hakuwa amejiandaa kwa hicho kiti.. Ila Rais alimtiwisha zigo
 
SASA ni zamu ya jinsia KE Tu
 
Ujambazi ni tabia.. ngumuu kuumaliza.. ila inawezekana ukazibitika
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…