Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Wacheki cv ya mossad boss
David Barnea...teh teh
Lijamaa lishaenda sana frontiles
Ukimchek tu mtu unasema yes huyu ni
Ngoma ngumu

Ova
David_Barnea,_May_2022_(cropped).jpg
 
Kwahiyo Diwani kaanza kuugua mara tu baada ya kuondolewa nafasi aliyokuwa nayo na kupewa ya ikulu?

Huoni kwamba hii hypothesis yako imekufa kifo cha mende hata kabla hujamqloza kuiandika?
Sentensi nzima umeona neno kuumwa tu ambalo nimetoa kama mfano. Hujaona niliposema "ama ana sababu nyingine"?

Mbona mnalazimisha mambo
 
Kakataa teuzi, kakataa fedhea.

Halafu nyinyi mnaosema kuwa anarudi shamba hivi mnajua hela wanazojitengenezea hao jamaa..?

Kuna ndugu yangu wa kumfahamu moja kwa moja alikuwa ni Zonal Manager wa JKT, hela alizonazo na mali alizonazo nadhani ni za kula hata miaka 100 huko mbele...alipandishwa cheo na sasa ni mkurugenzi kitaifa.

Hawa watu wa system hawawezi kuwa na maisha magumu kama mnavyofikiri, hela walizochuma ni nyingi mnooo.
 
Soma reply yangu nzima. Mbona mnakuwa wagumu hivi, mnadhani Rais ni chuma au jiwe lile halielewi.

Kama unaumwa au una matatizo yako yatakayokuzuia kufanya kazi, au kama una ushauri unaweza toa na mkakubaliana na Rais ugumu uko wapi?

Narudia tena. Mtu yeyote anaweza kukataa kazi anayopewa na Rais na akatoa sababu wakakubaliana asiifanye. Lowassa alijiuzuru kuwa PM na akakubaliwa. TISS ingekuwa ya maajabu sana basi DG asingekuwa anapelekwa nje ya nchi angekuwa anauwawa. Mnaifanya TISS ionekane kundi la kishetani na waliopo ni majini
Huko jeshini na sercret service ni order mkuu, kuna yule canal alikuwa mkuu wa wilaya akaomba apangiwe sehemu nyingine akafukuzwa jeshini moja kwa moja.
Japo kwa mtu kama Diwani kama ni washikaji wanaweza kuyazungumza kishikaji.
 
Wewe hujui unachosema, chief of staff ipi ya ikulu?. Usitumie neno Chief of Staff vibaya.
Yaani utoke kuwa boss wa majasusi taifa zima uende kuwa katibu wa ikulu tena utoe taarifa za kila siku kwa boss wa majasusi aliyekua mdogo kwako halafu unauliza kama no demotion?. Hivi hua vichwa vyenu vimejaa nn?
Tena iyo Chief of staff ni tofauti kama ile ya kijazi na bashiru ile ni katibu mkuu kiongozi. Hii Diwani alitopewa ni katibu mkuu tuu. Kazi yake ilikuwa kuandaa mafaili tu yani alikuwa hana tofauti na secretary.
 
Back
Top Bottom