Dkt. Damas Ndumbaro: Wanaume tuliokuwa tunavizia Urais twende likizo, kazi anayoifanya Samia hakuna wanaume wanaoweza kuifanya

Dkt. Damas Ndumbaro: Wanaume tuliokuwa tunavizia Urais twende likizo, kazi anayoifanya Samia hakuna wanaume wanaoweza kuifanya

Siasa za CCM bila unafiki na kujikomba ni ngumu sana.........ili ujiunge CCM lazima akili yako uifungie kabatini na kuwa kapu la fikra za mwenye kiti wako.........ndio maana wengi wao hawawezi kuishi nje ya mifumo hiyo................hata kama ni professor akishakabidhiwa kadi ya CCM automatic anakuwa mjinga Kwa kupigania tumbo......
 
Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaru akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya WILDAF yaliyohudhuriwa na Rais Samia amewataka wanaume wanaotaka kuwania Urais wakapumzike kwani aliyepo shughuli anaiweza barabara.

Ndumbaro ametaka wanawake waongoze nchi hata miaka 20 na kama wanaume wanataka kwenda kombe la dunia lazima Rais awe mwanamke kama wanawake walivyoweza kufika robo fainali.

=======

Damas Ndumbaru: Tumepata Rais wa kwanza mwanamke, sidhani kama kuna mafanikio makubwa kama hayo, rai yangu kwa nyinyi wanawake wapigania haki za wanawake, hapa tuliposhika tusiache.

Sisi kule Songea, wangoni tunaimba kwamba ninapotaka mimi ni hapa tu, sisi tunasema tunapotaka sisi ni hapo tu, tumefika.

Kwahiyo sisi wanaume ambao tulikuwa tunavizia vizia hii nafasi ya Urais hebu twende likizo kwanza. Hii shughuli sio yetu, siku hizi ina wenyewe hii, ndio ukweli na mbaya zaidi huyo mwanamke ambae ndio Rais kazi anayofanya hakuna wanaume ambao wanaweza kuifanya.

Nchi imejaa mazuzu
 
Ukilitazama hili suala kisiasa unaweza kumuita Chawa Mheshimiwa Ndumbaro lakini ukienda mbali zaidi ni ukweli mtupu.

Marais wote watano wanaume waliomtangulia SSH hawakuwahi kuwa na mafanikio ya kuifikisha timu yoyote ya Taifa ikacheza kombe la dunia mpaka kufikia hatua ya robo fainali kama Serengeti Girls wanavyofanya kule India.

Tunazoea mno lawama na kuwa na negative thinking mpaka tunashindwa kuutazama uhalisia wa mambo kwamba kwa mara ya kwanza timu ya Tanzania inacheza kombe la dunia, wimbo wetu wa taifa kwa mara ya kwanza unaimbwa kabla ya mechi ya mwakilishi wetu katika michuano ya kombe la dunia.

SSH anaweza kuwa na udhaifu wa hapa na pale lakini ni kiongozi mwenye Baraka kwa Tanzania, kwa wasichana wetu kuweza kufika hatua ya kucheza mechi ya robo fainali ya kombe la dunia ni ishara ya uongozi wa Samia kuwa na baraka kwa Taifa.
 
Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaru akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya WILDAF yaliyohudhuriwa na Rais Samia amewataka wanaume wanaotaka kuwania Urais wakapumzike kwani aliyepo shughuli anaiweza barabara.

Ndumbaro ametaka wanawake waongoze nchi hata miaka 20 na kama wanaume wanataka kwenda kombe la dunia lazima Rais awe mwanamke kama wanawake walivyoweza kufika robo fainali.

=======

Damas Ndumbaru: Tumepata Rais wa kwanza mwanamke, sidhani kama kuna mafanikio makubwa kama hayo, rai yangu kwa nyinyi wanawake wapigania haki za wanawake, hapa tuliposhika tusiache.

Sisi kule Songea, wangoni tunaimba kwamba ninapotaka mimi ni hapa tu, sisi tunasema tunapotaka sisi ni hapo tu, tumefika.

Kwahiyo sisi wanaume ambao tulikuwa tunavizia vizia hii nafasi ya Urais hebu twende likizo kwanza. Hii shughuli sio yetu, siku hizi ina wenyewe hii, ndio ukweli na mbaya zaidi huyo mwanamke ambae ndio Rais kazi anayofanya hakuna wanaume ambao wanaweza kuifanya.

Hata Magu mlimuita Mungu, wengine mkamuita Yesu. Sasa kila jiwe lina mlenga yeye. Shame to you Ccm
 
Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaro akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya WILDAF yaliyohudhuriwa na Rais Samia amewataka wanaume wanaotaka kuwania Urais wakapumzike kwani aliyepo shughuli anaiweza barabara.

Ndumbaro ametaka wanawake waongoze nchi hata miaka 20 na kama wanaume wanataka kwenda kombe la dunia lazima Rais awe mwanamke kama wanawake walivyoweza kufika robo fainali.

=======

Damas Ndumbaro: Tumepata Rais wa kwanza mwanamke, sidhani kama kuna mafanikio makubwa kama hayo, rai yangu kwa nyinyi wanawake wapigania haki za wanawake, hapa tuliposhika tusiache.

Sisi kule Songea, wangoni tunaimba kwamba ninapotaka mimi ni hapa tu, sisi tunasema tunapotaka sisi ni hapo tu, tumefika.

Kwahiyo sisi wanaume ambao tulikuwa tunavizia vizia hii nafasi ya Urais hebu twende likizo kwanza. Hii shughuli sio yetu, siku hizi ina wenyewe hii, ndio ukweli na mbaya zaidi huyo mwanamke ambae ndio Rais kazi anayofanya hakuna wanaume ambao wanaweza kuifanya.

Huyu andunje naye hamnazo tu kama yule andunje mwenzake aliyetemeshwa usemaji wa mjengoni.
 
Ni mmoja wa waliookotwa jalalani msimshangae Sana! Ona aliyekuwa boss wao ambaye anaongoza tume ya katiba, na wale wa makinikia na Kisha huyo na ndalichako wote Wana shida mioyoni mwao! Hawapendi Tena kufanya tafiti zenye kuumiza kichwa Bali kula Kwa kusifia kunatosha!
Huyu pimbi na jamii yake ndiyo wanafanya vijana wetu wasione thamani ya elimu. Kweli PhD holder anatoa ushuzi kama huu inasikitisha sana
 
Hivi kwa nini Rais anakubali kudhalilishwa namna hii? Kila mtu anajua kwamba huyo Waziri hamaanishi anachosema kwa nini Rais anakubali kufanyiwa hivi?

Hata mtoto mdogo akisikia hayo maneno atacheka na kujua ni danganya toto, sasa kwa nini?
Too low!
Mwenyewe msifiwa anafurahia
 
Back
Top Bottom