Dkt. Diallo: Sisi Mwanza ndio Wasukuma original na Rais Samia ni Chifu wetu, hao wanaoitwa Sukuma Gang hatuwatambui

Wasukuma halisi tunataka kujua ni kina nani wapo nyuma ya kifo cha mpendwa wetu Dr. Magufuli. Vinginevyo huyo chifu wenu na washirika wake wataiona Kanda ya Ziwa chungu. Tupo hapa.
 
Dah... Hivi mmatumbi akitaka kuwa msukuma ...mchakato wake ukoje?....kuuliza si ujinga 🤭
 
Zanzibar To Mwanza Mbona Mbali Sana Jamani;
 
Wasukuma halisi tunataka kujua ni kina nani wapo nyuma ya kifo cha mpendwa wetu Dr. Magufuli. Vinginevyo huyo chifu wenu na washirika wake wataiona Kanda ya Ziwa chungu. Tupo hapa.

Wanasemaga ni ugonjwa wa moyo[emoji848]
 
Nilikuwa sijawaelwa wanaosema "acha inyeshe tujue panapo vuja" sasa naanza kuwaelewa.

Huu ni ushahidi mwingine hata kwa wenye uelewa mdogo kabisa kuwa hiki sio chama cha siasa tena bali ni genge lisilokuwa na dira na lengo lake kubwa likiwa ni kuendelea kuishikiria hazina.

Sasa kati ya Jobo na huyu sijui ni nani mkubwa katika chama na endapo mnada utapigwa ni nani atabaki nje ya set kati yao.
 
Hivi si tuliambiwa uraia wa huyu bwana una madoa madoa
 
Hivi kuna umuhimu gani wa kuwa wafuasi wa marehemu?
 
Diallo alipe kwanza vimeo vya TRA. Hizo porojo za kujipendekeza kwa huyo bibi isine kuwa kigezo cha kukwepa kulipa.
 
Chifu mwanamke wapi na wapi wasukuma hawanaga hizo labda malenga wanawake ndo wako kibao
 
Chifu hajaenda suna....acheni kunajisi mila!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…