Dkt. Gwajima: Tukatae utapeli, Binti aliyedai anaishi na nyoka akiri haikuwa kweli

Tatizo la uchawi ni ugumu wa kuthibitisha kama upo na unafanya kazi, linabaki kuwa suala la imani na mapokeo tu.
 
KWA MANABII JE WANAOWAPA REHEASAL WAUMINI WAO ILI KULANGAI UMMA HAPO UNAFANYAJE MH., MAANA WANAPOTOSHA JAMII AMBAYO MH, NDIYO MWENYE DHAMANA.
-mtu ametapika nyoka
-mtu ametapika misumari wa nchi nne
-mtu ametapika viwembe,
Yaraabih!
Kuna mmoja alijisaidia bawaba 4 kubwa za milango. Ila Mwamposa, Mungu anakuzoom tu.
 
Unaweza kuwa unafanya kazi nzuri sana na hilo halipingiki, ila bila ushirikiano wa taasisi zingine matokeo hayatakuwa mazuri sana. Hongera kwa kuchapa kazi
 
Binti anaitwa Veronica Bernard Anton lakini amevaa kama bint wa kiislam yote hiyo kuchafua waislam waonekane wanapenda kujishirikisha na ushirikina😂 ila hii nchi inavichaa sanaa
Sidhani kama jina linaweza kuwa sababu ya Kujua Dini ya mtu moja kwa moja...

Kuna Dada namjua anaitwa Neema na siyo Mkristo....na anavaa zile za kufunika hadi uso....Haya...Na wewe unatumia ID ya Cleopatra...😅
 
Mwamba uko vizuri sana aisee
 
Wewe si ndio mtetezi wa mashoga humu, unahisi atakuskliza? Mumeharibu jamii.
Tena mumechokwa haswa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuja kupiga panapoumaa, na ntapiga haswaa.

Nweii yeye ameshaelewa na kasema nishirikiane nae. Ko wee tulizana bwasheee.
 
Mwandikie hivi kwani nini watoto wakiume wana.........[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Tulizana bas nawee, uzi utakua umejishato hashwaa,
Mbona utafurahi mwenyewe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binti anaitwa Veronica Bernard Anton lakini amevaa kama bint wa kiislam yote hiyo kuchafua waislam waonekane wanapenda kujishirikisha na ushirikina😂 ila hii nchi inavichaa sanaa
kuvaa hivyo ni uislam?.Hizi ndio akili tunazozisema kila siku.Kwanza jina au mavazi havina uhusiano na dini ya mtu.
 
Sasa mh Gwajima, hao wasiishie kuomba radhi. Sheria haitambui kuomba radhi, wanatakiwa wafunguliwe mashtaka. Kila mmoja na yake na yale ya pamoja.
Kula njama, kusema uongo, kurecord na kupakia mtandaoni, kudaganya majina yake huyo dada n.k

Na mnaweza kuomba mahakama ifunge kituo mpaka kesi itakapokwisha. Adha waliyoisababisha katika jamii na wao waipate. Dawa ya moto ni moto zaidi.
 
Wapumbavu wakubwa hao.

Lakini yeye amesema anaitwa Victoria wewe umeandika Veronica.
Kwanini unasubiri mwenye nyoka ajitokeze wakati wahusika wa kukupeleka kwa mwenye nyoka uko nao?
 
Wale wasio na ajira, biashara wajikite kwenye uganga wa kienyeji wa kupiga Ramli, ushehe wa kudai wanasafisha nyota na kukuepusha na majanga.
Kwa wabongo na akili zao za kiimani imani UTAPIGA HELA MPAKA HUTAAMINI...
Mfano wakina Mwamposa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…