Dkt. Gwajima: Tukatae utapeli, Binti aliyedai anaishi na nyoka akiri haikuwa kweli

Hiyo Spana nimekupiga m,Acha udini na usijizungushe.Panua mawazo yako ya fikra usigawe watu kwa mavazi kama hawa wana haki miliki na Hilo ni vazi Lao.
Eti nisigawe watu kwa mavazi huyo dem vero ndio alishajigawa mwenyewe kujiita majina ya kiislamu wakati sio wa dini hiyo sasa mimi nimewagawa kina nani mbona unaropoka tuu kama umelishwa usembe au ndio simu yako bando lako hakuna wa kukupangia cha kusemaπŸ˜‚ umeshikilia kwenye mavazi tuu lkn jina lake alilojitambulisha nalo mwanzo wakati anapotosha jamii hulionπŸ˜‚
 
Kwa Heri dada Naona somo limegoma kukuingia.
 
Ni upuuzi wa hali ya juu kurekodi habari za uongo kisha kuweka mtandaoni (eti anagongwa na nyoka)! Kiaje kiaje?
Mkuu🀝Jana kuna msaada,nimeomba cjapata majibu plz,,nikiwa nime lockiwa na mtu kwa lain nisimpate je nampataje kwa kutumia code???
 
Fact.
 
Pia kuna habari ya mtanzabia mwenzetu tena mwanamke kapata tatizo la kurukwa akili marekani analala darajani je unamsaidiaje maana ubalozi haujashughulikia hilo
 
Hatuwezi kufumbia macho, wa kuiponya Afrika ni mimi na wewe, tuungane tu
Lakini tufike wakati kinacho itwa uchawi kiharamishwe kisheria otherwise tutakuwa tunapuyanga huku tukirirhisha vizazi vinginevyo ujinga.
Kwa uzoefu wangu kinacho aminiwa kuwa ni uchawi huwa ni knowledge gap kwa anaye amini.
Watu wanaumizwa kupitia kupitia chaka hilo la uchawi kwa kutishiwa kutupiwa majini huku kinachotafririwa kuwa ni majini zikiwa ni hujuma na mazingaombwe.
Ifike wakati anayetishia kumdudhuru mwenzake kishirikina achukuliwe hatuwa kisheria.
 
Mheshimiwa Waziri, usiishie kwa huyo binti tu. Kuna Manabii na Mitume feki wengi wanatangaza kufanya miujiza ya kuwapatia watu fedha, utajiri na pia kuponya watu magonjwa yasiyotibika kwenye vyombo mbalimbali vya habari, na kwa miaka mingi sasa huku mkiwaacha wafanye utapeli wao!

Ni vizuri mkawafuatilia na hao. Msipambane na hao wadogo pekee. Hii nchi kwa sasa utapeli umetapakaa kila kona. Watu wanatajirika kupitia maji, sabuni, lesso, mafuta ya upako, na bla bla nyingine.
 
Yaan ww ,
Ahsantee!! Ntakuandikia ktk uzi.
Unapewa nafasi tiririka unaleta mashart ya utaweka kwenye uziπŸ˜ƒ
Hakuna Waziri wa kukuruhusu kumpa hoja kirahisi kama Waziri Dorothy...wale ni Miungu watu ...ukianza kusema kuna jambo..unakula block hapo hapo...I'm sorry for saying that it's true. Sio mawaziri wote' wako so open hivyo tiririka kama una jambo lenye Hoja ya maana utaisdika kashakupa nafasi Haiba haha kuanA kuandika uzi huko je na asiuone? Tiririka Hapa Hapa.
 
Hata mimi nashangaa kwanini cocastic hatiririki na ameshapewa go ahead.

Wizo kaniboa sana leo.
 
Wazirii Gwajima, kuna jambo nataka likufikie, haijalishi utalikubali au utalikataa, ila lazima nikufikishie.
Tafadhali usije ukamfikishia habari zangu... hatukuachana kwa ubaya. Ni wewe tu ulinikataa mimi msukuma na kwenda kwa sharobaro mwenye crown.
 
Madam minister upo vizuri unamzidi kwa mbali sana bosi wako sa100 .
2025 chukua fomu ugombee Urais nakuahidi kura za familia yangu wote wenye vigezo vya kupiga kura
 
Karibu tushirikiane tafadhali
Tungekuwa na Mawaziri wote kama huyu mama kuja hapa jukwaani na kujibu kero tungekuwa mbali sana. Mfano Baba Eunice(Nape), kamwe hawezi kuibuka na kujibu hoja ama malalamiko yanayohusu mitandao ya simu. Mungu akuongoze. Mimi nina kaswali kadogo sana Daktari, kama huyu tapeli aliyesema analala na nyoka ukamshughulikia, inakuwa hawa Wachungaji wanaodai kufufua watu na wengine kuponyesha watu magonjwa sugu ikiwemo ulemavu na tumeshuhudia/umeshuhudia kule Songea muhubiri mmoja akiponyesha watu ulemavu wa miguu. Je huu sio utapeli?
 

Acha kumlinganisha Dr Gwajima na mpuuzi kilaza Nape mtu mwenyewe elimu yake ya kuungaunga alifeli asingeweza kupata udahili vyuo vya Tanzania akapelekwa India vyuo vya kizushi kusoma.
2025 nape ubunge hapati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…