Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Hivi ukiwa kwenye interview au mahojiano kama Yale ni lazima Kila unachoulizwa ujibu!?Kuna point ndogo sana aliikosa kigwangala kwenye Yale mahojiano PAUSE kama angepause kidogo angegundua hiyo Hoja ilishapita mda mrefu sana
Angemwambia mwandishi Hilo tuachane nalo
 
si kwa sababu logic yake ni ndogo,na hata hicho kipindi ukute alikinunua
 
Kigwa ana hasira tangu mkopo utoke khaaas......
 
Mwambie apake wanja mweusi ule mdomo wake.Au hata mkaa.Mdomo umebabuka utadhani anatokea misitu ya Virunga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…