Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Ila Mo mswaz san 🤣🤣😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Mo mswaz san 🤣🤣😂😂😂
Acha uzwazwa. Utajiri sio ishara ya akili. Kunyume chake watu wenye akili nyingi hawapendi utajiri. Theft want basics na wanadeal with other existential matters kama ubobezi ktk fani, ugunduzi etc. Sio kila mtu anatamsni kuwa kama Mo financially including Mimi. Najua pesa ni muhimu ila ikiwa nyingi crisis za kimaisha zinaanza. And I ding want that.Huyo hk kama anauwezo mkubwa wa kufikiri ni wakati sasa nayeye awe na uwezo wa kiuchumi kama Mo
Ndio sababu Kigwangalla anamchezea kama mdoliIla Mo mswaz san 🤣🤣
Huyu Kigwangalla analialia kama changudoa aliyekosa Mwanaume pale Corner Bar. REAL men don't write such personal gossips.Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
Source Star tv Medani za Siasa
Mo kaajiriwa pale,Mali ya baba zake ambazo ni urithi kwa baba yao,Huyo hk kama anauwezo mkubwa wa kufikiri ni wakati sasa nayeye awe na uwezo wa kiuchumi kama Mo
Tatizo lako ujinga.Aliyekataa ni nani?Kwa mujibu wa Hamisi Mo Dewji sasa tuambie huyo mwingine?Kuna tofauti Kati ya kurithi na kusimamia Biashara ya familia
Kwa mfano Shabiby alirithi mabasi mawili na gereji lakini leo ana mabasi 100 na zaidi na vituo kibao Vya Mafuta
Mo anasimamia mali za Mohamed Enterprise yani humo ndani kuna mtu kibao
Hata zile tukutuku za Mkopo kwa Kigwangalla aliyekataa ni mwanafamilia mwingine kabisa siyo Mo huyu wa Makolo
HayaTatizo lako ujinga.Aliyekataa ni nani?Kwa mujibu wa Hamisi Mo Dewji sasa tuambie huyo mwingine?
... ila utajiri ni akili.Akili sio Utajiri
Kigwangwala Mzee wa kutoa wanao kafara ili upate uwaziri Mo anapungukiwa nini ukimpuuza?Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
View attachment 2589854
Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Haijalishi lakin atabaki kuwa na heshima yakeMo kaajiriwa pale,Mali ya baba zake ambazo ni urithi kwa baba yao,
Sababu yupo hai. Lingine.Wewe mbona Baba yako hajakuachia mali?
Kwani Mo aliwahi kumtaka Kigwa wawe marafiki?Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
View attachment 2589854
Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Toka alivyoliwa matyakoooo akili zilipungua SanaKweli lakini. Kigwangala ana nongwa ya kukosa uwaziri. Ila alichosema kwa MO ni kweli.
Ni utoto na ujinga. Huyu Kigwangala hajitambui na ni wa hovyo sana. Imagine hawa ndiyo walikuwa mawaziri na sasa ni mbunge. Nchi itaacha kuvurugika?Ilo ni sawa kabisa mimi naona kusema mtu fulani nimemfuta urafiki ni kauli ya kitoto sana
Ukishafikia kwenye level ya uwaziri, hutakiwi tena kuwa unalumbana na wanachi wako wa kawaida kwa jinsi hii, hasa wale ambao si wanansiasa. Hapa hekima inaonyesha kugogolobanya kidogoKweli lakini. Kigwangala ana nongwa ya kukosa uwaziri. Ila alichosema kwa MO ni kweli.
Kumbuka yeye MO ni kivuli, Mtendaji ni baba yake ujue na yupo haiAnzie hapo,kisha jipige kifua,kama una vyako kwa ajili ya kizazi chako kama ulivyosema basi kizazi chako kikiwa na akili yaku multiply kilicho achwa nawe ni akili kubwa sana ,na hapo ndipo kwenye hoja ,,but nazungumzia mali zinazoishi na sio hizo ambazo depleciation huongezeka kila uchwao,stating something in an opposite way it doesn't mean that you count some body as an ordinary.
Hayo ni matango Pori . Baba yake MO ndiyo decision maker, ref issue ya magunia ya korosho wakati wa JPMUnakosea sana kutesti kunywa K-Vant wewe Mzee. Saizi yako wewe ni Johnie Walker. 😂 😂 😂 😂
Mo ni Mkurugenzi wa Kampuni ya familia yao na yeye ndiye "Decision Maker" na mwenye "Final Say" kwa sasa. Kama unamsifia Shabiby na Gereji aliyoachiwa, unashindwaje kumsifu Mo kwa biashara aliyoachiwa na kuiendeleza?
Kiukwasi Mo na Shabiby nani ana ukwasi mkubwa??
Huyo hk kama anauwezo mkubwa wa kufikiri ni wakati sasa nayeye awe na uwezo wa kiuchumi kama Mo