Mu7
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,624
- 1,934
Mawazo ya kishirikina tu!!!!Yaani akiandika tu hata mitano haishi! Kwisha habari!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo ya kishirikina tu!!!!Yaani akiandika tu hata mitano haishi! Kwisha habari!
Mie nimewaza Mkapa kamaliza kuandika akazindua tu, then in a year or two he was no more...
Dalili mpya za kukimbia atmosifia ya joto mingi
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Kwahiyo na kwa mkwere tutarajie the same way?Hata Reginald Mengi ilikua hivyo hivyo😥😥
Haha mzee labda ahamasike baada ya kuona wenzake wote wametoka vitabu, lakini kwa umri ule atakuwa na kumbukumbu ya mambo yote yaliyotokea kipindi cha his reign?Hivi Mwinyi hakuandika ee...!?
Kwasababu amesema ataongea mpaka yale ambayo hatuyafahamu, wacha tusubirie. Akisahau tutamkumbushaNajua hatosahau kutueleza kilichomuua Dk. Omar Ally Juma na uhusiano wake na Rostam Aziz kuhusu like briefcase jeusi pale hoteli ya Kilimanjaro.
Na pia atatuambia kwa nini alishindwa kutamka jina la Dk. Alli Mohhamed Shein kwa mara ya kwanza hadi RA alipomtambulisha kwake bila kusahau lile shimo la tanzanite maarufu kama "Shimo la Mwarabu" pale Mererani sasa analichimba nani baada ya ya mzungu wa SA kufurushwa?
Huwa hawaandiki mambo ya ukweli wa ndani, sana sana hurudia yale yale na tusiyoyajua yasiyo na tija yoyote.
Mi nasubiria jiwe aandike, cha JK najua kitakua na historia inayovutia kusoma, cha jiwe sasa, unaweza ukasoma huku unalamba ndimu
Nashangaa wengi wakiandika hawakai sn sijui kwanini?
Wanaandika wakiwa afya zao zina mgogoro sio suala la umri; Barack Obama ameandika na bado anaandika vitabu na hana dalili ya kuondoka siku za usoni kwasababu ya kuandika hivyo vitabu!! Carter, Clinton, Walker Bush na wengine wengi wameandika vitabu na bado wapo!!
Je Alhaj Mwinyi yupo nasi kwa muda mrefu kwasababu hajaandika kitabu?
Huyu mkwere anapaswa ajifunze kwa mzee Mwinyi ili afikie uzee mwema, mwambieni aache kiherehere atulie mambo ya kuandika historia awaachie kina Mkapa na MengiHata Reginald Mengi ilikua hivyo hivyo😥😥
Usininukuu mkuu hahaKwamba