Hata mlale mnatambika,hata ndugu zako wote na ukoo wenu wote mumpigie kura Lissu, hawezi kuapishwa kuwa Raisi wa Tanzania. Kampeni tunafanya ushahidi tu kukamilisha ratiba. Ndo maana mmeambiwa waliojiandikisha ni milioni 29. Mpaka hapo zaidi ya nusu ni za CCM tu. Ni Virtual zipo vitabuni tu. So,hata Lissu afanyeje hawezi kushinda. Najaribu kuwaambia ukweli ili msiendelee kujidanganya kwa matumaini hewa. CCM haitegemei kura za wananchi. Mfano, hata wakipiga kura watu milioni 8 tu, jumla ya kura mwaka huu zitakuwa zaidi ya milioni 20. Kama una akili utanielewa, ila hata ukielewa huwezi kubadili lolote, hata huyo Lissu wenu hawezi. Endelea kushabikia u.senge wa sijui Robert Amsterdam.