Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Bunda walijichanganya wenyewe, Utawapelekeaje Barabara watu wanaokutukana?

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Bunda walijichanganya wenyewe, Utawapelekeaje Barabara watu wanaokutukana?

Mtarudi na kelele za tume muda sio mrefu. CCM hata ichokwe vipi haitaondolewa na upinzani huu wa akina Lissu na Mbowe.

Kwani hiyo October kuna uchaguzi? Ninachojua hiyo October 28, itakuwa ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Mbona mama yako ni mjinga lakina bado anaendelea kumsapoti .

Yaani vijana wa bavicha shida tupu.
Hamna hoja na ndio maana mnaleta ujinga , lakini safari hii tutawadhibiti vibaya sana wanafiki wakubwa nyie !
 
Huo ushindi wa kupewa na system Lisu hahitaji, Magufuli ndio anauhitaji ushindi wa mezani, maana hana ushawishi wala mvuto kwa wapiga kura. Tutampa Lisu kura zetu, yeye Magufuli angojee kutangazwa kwa mbeleko ya system. Ila hata hao system watajua kuwa enzi za ccm kutawala nchi hii zimeshapita. Na hao system waendelee kuomba wananchi kuwa makondoo, vinginevyo wakiamua kukaza kutatokea machafuko na mauji ya kutosha.

Ukitaka kujua ccm sio chama cha kizazi hiki, angalia ccm imefanya siasa miaka mitano peke yake, kila uchaguzi wameunajisi, lakini ndani ya mwezi tu, tayari watu wamerudi kwenye uhitaji wao wa mabadiliko. Peleka ujumbe huu kwenye vikao vya mboga mboga kuwa kila kitu kina kizazi chake, na ccm sio chama cha kizazi hiki bali cha kizazi kilichopita, ndio maana kinatumia nguvu kubwa kubaki madarakani, kuliko ushawishi wa kisiasa.
Kwenye nchi yenye kizazi cha WAPUMBAVU kiasi cha kuamini mtu Kama Lowassa anaweza kuleta mabadiliko hadi kudeki lami System haiwezi kuruhusu Wananchi ambao wengi wao ni Wajinga na Wapumbavu waamue nani awaongoze. Ndo maana nikasema hata mshawishi koo zenu zimpigie Lissu, hawezi kuwa Raisi wa Tanzania. Kuhusu machafuko labda miaka 50 ijayo, kizazi hiki kiondoke. By the way nani wa kumfanya mtu aingie barabarani!?, Lissu!?.., kwa lipi!?
 
Kwenye nchi yenye kizazi cha WAPUMBAVU kiasi cha kuamini mtu Kama Lowassa anaweza kuleta mabadiliko hadi kudeki lami System haiwezi kuruhusu Wananchi ambao wengi wao ni Wajinga na Wapumbavu waamue nani awaongoze. Ndo maana nikasema hata mshawishi koo zenu zimpigie Lissu, hawezi kuwa Raisi wa Tanzania. Kuhusu machafuko labda miaka 50 ijayo, kizazi hiki kiondoke. By the way nani wa kumfanya mtu aingie barabarani!?, Lissu!?.., kwa lipi!?
Hapo kama kuna ukweli flani hivi. Huwezi achia wajinga wachagie kiongozi wa nchi kwa mihemko yao nchi inaweza pitia magumu
 
Kwenye nchi yenye kizazi cha WAPUMBAVU kiasi cha kuamini mtu Kama Lowassa anaweza kuleta mabadiliko hadi kudeki lami System haiwezi kuruhusu Wananchi ambao wengi wao ni Wajinga na Wapumbavu waamue nani awaongoze. Ndo maana nikasema hata mshawishi koo zenu zimpigie Lissu, hawezi kuwa Raisi wa Tanzania. Kuhusu machafuko labda miaka 50 ijayo, kizazi hiki kiondoke. By the way nani wa kumfanya mtu aingie barabarani!?, Lissu!?.., kwa lipi!?

Sijawahi kuamini kwenye taka ngumu yoyote toka ccm. Kama watu walideki barabara haya yalikuwa ni mahaba yao, na mizuka yao ya uchaguzi. Hao unaowaita system ww ndio unawaona watu smart sana, ila kwangu nawaona watu wa kawaida sana. Kama wangekuwa ni watu makini kwa hivyo, nchi hii isingekuwa na mikataba ya kihuni ya raslimali za nchi. Hiyo unayoita system ni matapeli waliopata mwanya wa kupiga hela za wajinga waliolala, sio zaidi ya hapo. Wangekuwa smart hivyo nchi hii bado ingekuwa masikini?

Kwa sentensi zako huoni kuwa unajichanganya tu, kama kuna watu wajinga mpaka walideki barabara, watashindwa nini kuingia barabarani, ama hujui unaongea nini? Au hao watu akili zao ni za kijinga tu kwa kudeck barabara, lakini kuingia barabarani ndio wanakuwa na akili?
 
Kuna mahala huwa wanasema Maendeleo Hayana Chama, lakn pia TRA wao hawaangalii Chama, wanakusanya tu. Pia nafikiri Maendeleo hupelekwa kwa Watanzania wote bila kubagua.
 
Kwani hiyo October kuna uchaguzi? Ninachojua hiyo October 28, itakuwa ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Mkuu I believe kuna jambo kubwa sana litatokea this October. Usikate tamaa. Lissu anasimamiwa na Mungu. Hategemei nguvu za binadamu
 
Mkuu I believe kuna jambo kubwa sana litatokea this October. Usikate tamaa. Lissu anasimamiwa na Mungu. Hategemei nguvu za binadamu

Mkuu sina tatizo na kura za Lisu, bali matokeo hayo ndio yatasababisha huo ujinga wa mtu mweusi kuwa wazi peupe. Kumbuka sisemi kuwa Lisu atashindwa, ila kama tume wana idadi ya wapiga kura ya kupika, tegemea matokeo ya kubumba. Labda wananchi wasimamie kauli mbiu ya sasa basi.
 
Huyo mgombea wenu sasa anawafanya hata wale wajinga waliokuwa wanam support kumgeuka.

Kwa haya maneno nawaambia mtashangazwa hiyo October 2020 mkiona Lissu anampiga vibaya huyu mtu wenu kwenye Sanduku la kura!!
Na "Niguse ninuke" hawezi kuwapiga hao wote kwenye sanduku la kura?
 
Mkuu sina tatizo na kura za Lisu, bali matokeo hayo ndio yatasababisha huo ujinga wa mtu mweusi kuwa wazi peupe. Kumbuka sisemi kuwa Lisu atashindwa, ila kama tume wana idadi ya wapiga kura ya kupika, tegemea matokeo ya kubumba. Labda wananchi wasimamie kauli mbiu ya sasa basi.
Ndugu. Ya Mungu Mengi sana. Usitie shaka. Kuwa na imani!!
 
Ndio kawaida yake!
😂😂😂😂 huyu mwaka huu ata wajinga anaowategemea watamkataa nakwambia. Kwa iyo anasema kabisa akiwa raisi kuna maeneo tusahau maendeleo kwa sababu hatukumchagua??? Kwa iyo anamaanisha lazima apapendelee chato???

Huyu mtu si wa kupewa ata udiwani kwa kweli. Ni mbaguzi na mtu Mwenye chuki na roho mbaya kupindukia
 
Sehemu pekee nchini Tanzania ambapo waweza kudhani Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii ni Jamii Forums tu. Ila ukweli na uhalisia ni kwamba Lissu hatakaa awe Raisi wa Tanzania. Sio 2020 tu, ni NEVER (KAMWE)
Lakini kama angekuwa kada wa CCM vp?
 
Halafu utashangaa hao watu wanamlisha kwa kodi ya jasho lao.
Ukweli JPM amewakosea wana Mara, Amemkosea Mungu pia.

Pesa anazojengea barabara, kuleta maji, umeme nk hazitoki mfukoni mwake. Ni kodi ya wana Mara na Watanzania wote.

HAKI HUINUA TAIFA
ccm hawana maana hivi walikosa MTU wa kupeperusha bendera mpaka wakampa huyu bwana
 
Back
Top Bottom