"Hatuchagui Mtu wala sura, hata sura yangu ni mbaya, tunachagua Vyama , huwezi kuchanganya mambo Rais awe CCM wengine Vyama vingine, Mimi sifichagi nawaeleza ukweli fanyeni makosa mtajuta, nileteeni Mbunge na Diwani wa CCM, mkiniletea mwingine itaniuzi"
Jamaa ni ZinjathropasHuyu jamaa ana akili ka za raia wa zama za mawe.
Washamkatisha tamaa!!Nimeifatilia, pia kawaambia "WAKIJISKIA WAMCHAGUE"
Mkuu hujasikia "yeye ni rais tayari sio mgombea!!"Anaongea kama yeye si mgombea!
Wasichague tuone nani bingwaHuko Magu, Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Ubunge na Udiwani
Magufuli amewaambia hebu wasimchague kisha waone kisha akaendelea kuongea Kisukuma
Makosa ya uteuzi yalishafanyika tangu mwaka 2015! Kilichobakia ni kuombea tu hiyo 2025 akubali kwa hiyari yake kuondoka madarakani.
Kinyume na hapo, tutaishi maisha ya tabu na shida nyingi. Hakika TUMEPATWA.
Huko Magu, Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Ubunge na Udiwani
Magufuli amewaambia hebu wasimchague kisha waone kisha akaendelea kuongea Kisukuma
Tume haidiriki kulitaja bure jina la Magufuli.
Kafikia patamu